Ninaamini hata apewe Shehe Ponda bado mtaendelea kulalamika kama watoto wa kambo
mtoto wa kambo maana yake ni mtoto wa nje ya ndoa hahahaaaaa
Ninaamini hata apewe Shehe Ponda bado mtaendelea kulalamika kama watoto wa kambo
Bora darasa la saba la ponda kuliko PHD ya Ndalichako, isiyokuwa na tija.
Tunataka hiyo nafasi aishike Muislaam haijawahi kushikwa na Muislaam toka ianzishwe ili kupunguza machungu na makali ya kuonewa na Ndalichako.
hatuwezi kumpa muislamu sehemu nyeti kama hiyo
Uliona idara ipi inayoongozwa na Muislaa ikawa majanga? tunaona maendeleo tu. Hata nchi, alivyoshika nyerere ni majanga ya kufa watu, alipoingia Mwinyi "ruksa" "ruksa" 'ruksa". Kuingia Nkapa, mama yangu wee! hapo ndio mpaka nyumba za Serikali wakauziana kwa bei poa! Kuingia Kikwete? maendeleo kwa kwenda mbele, mabarabara, mashule, vyuo vikuu, utalii, biashara, wageni maarufu. Mambo waa waa!
Na huko nna uhakika akishika Muislaam tutaona mafanikio makubwa sana, ndugu zetu nyie bado, imani yenu haiwafundishi kuongoza mnafundishwa kuongozwa tu (kondoo).
Bado mbichi hassaaaaa
hatuwezi kumpa muislamu sehemu nyeti kama hiyo
Ndio Mambo ya 'BIG RESULTS' hayo, we unafikiri BIG RESULTS itakujaje bila kumuondoa Ndalichako!!
kunawatu wanajadili kwa kutumia akili maswala ya vyama lakini yakija maswala ya uislam wanajitia utahira ra kuzidiwa n chuki,moyoni kwenu kuna ugonjwa na mungu atawaongezea magonjwa
We mama umeomeonya true colors za udini. Umejidhalilisha sana. Umedhalilisha Uislam. Pweew!
hatuwezi kumpa muislamu sehemu nyeti kama hiyo
kunawatu wanajadili kwa kutumia akili maswala ya vyama lakini yakija maswala ya uislam wanajitia utahira ra kuzidiwa n chuki,moyoni kwenu kuna ugonjwa na mungu atawaongezea magonjwa