Aiseee! inawezekana kuna mahali tumemkosea mungu, haiwezekani aruhusu tuadhibiwe hivi. nafikiri tumekosea sehemu atuhurumie.
Hii ni nchi masikini haiwezi kujenga nyumba kiasi hicho....! hivyo basi serikali inayoongozwa na CCM ni sikivu. walimu si wanamishahara yao? Mnataka raisi anyeshewe mvua?..........ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ukarabati wa IKULU
MWAKA;2006-2007
Tsh.6,114,562,685/=
MWAKA;2007-2008
Tsh.5,596,900,000/=
MWAKA;2008-2009
Tsh.5,712,000,000/=
Pesa zinazotumika kukarabati ikulu kila mwaka nisawa na kujenga nyumba za waalimu 611 na chenji inarudi.
Ukarabati wa IKULU
MWAKA;2006-2007
Tsh.6,114,562,685/=
MWAKA;2007-2008
Tsh.5,596,900,000/=
MWAKA;2008-2009
Tsh.5,712,000,000/=
Pesa zinazotumika kukarabati ikulu kila mwaka nisawa na kujenga nyumba za waalimu 611 na chenji inarudi.
Shida moja ni kwamba, wananchi wengi kule vijijini ambako CCM inavuna kura kijeuri, wakiona hizo namba hawaelewi. Watanzania wengi ukiwaambia bilioni moja hawaelewi kama unazungumzia milioni elfu moja.
Ndio maana hata ilipotajwa bilioni moja ya kununua makaburi hakuna aliyerudisha kadi ya CCM. Na amini nawaambia, hayo makazi ya wafu yakishajengwa, utasikia kuna mamilioni ya shilingi yanatengwa kuya-maintain.
source tafadhali mkuu.Ukarabati wa IKULU
MWAKA;2006-2007
Tsh.6,114,562,685/=
MWAKA;2007-2008
Tsh.5,596,900,000/=
MWAKA;2008-2009
Tsh.5,712,000,000/=
Pesa zinazotumika kukarabati ikulu kila mwaka nisawa na kujenga nyumba za waalimu 611 na chenji inarudi.
siamini na wewe unaingia kichwa kichwa kwenye taarifa ambayo haina kichwa wala miguu, muulize kwanza mleta mada aeleze source ya taarifa yake.Aisee!
Umeniumiza moyo sana!
Hebu edit kwenye post yako uweke na thamani ya hiyo nyumba moja ya mwalimu!
Utoo (CAG) huwa anakagua hesabu za ikulu pia?
Bora wangejenga Ikulu nyingine Dodoma na pale pabakie kuwa soko la Samaki
siamini na wewe unaingia kichwa kichwa kwenye taarifa ambayo haina kichwa wala miguu, muulize kwanza mleta mada aeleze source ya taarifa yake.