Yapo ya kusahau lakini sio hili!

Yapo ya kusahau lakini sio hili!

lakini mbona toka enzi za mkapa hadi kikwete nikiona rais anaongea au anaagana na mabalozi wa nje kwenye tv huwa naona zile kochi chakavu(mbaya kuliko zangu) huwa ni zilezile ?? wanabadilisha nini sasa??? au zile kapeti nyekundu

Pesa nyingi hazitumiki kwa malengo kusudiwa
 
ina mana huwa kuna ugomvi kila mara huko ikulu hadi kuiharibu ijuku?
 
Aiseee! inawezekana kuna mahali tumemkosea mungu, haiwezekani aruhusu tuadhibiwe hivi. nafikiri tumekosea sehemu atuhurumie.

sehemu tuliyokosea wengi wetu ni kupenda vya bure kama kanga, kofia, tshirt, pilao na kubebwa kwenye malory na kujisahau kwa tunayotendewa na serikali dhalimu ya ccm na kubwa zaidi tuliowengi hatujitokezi kupiga kura ila niwa kwanza kulalamika kwa maovu na mabaya tunayofanyiwa na serikali ya ccm
 
Hata Dr. Slaa akiingia Ikulu hiyo atafanya hivihivi.....Lakini kwa kuwa anapendwa hasira hazitakuwapo1!!!

Sitaki kuamini kama anaweza kufanya wizi mkubwa kiasi hiki na nadhani kama waTz tungejijengea utaratibu wa kutokiweka chama kimoja muda mrefu madarakani either kikae kwa mhula mmoja ama miwili then tukiweke chama kingine nadhani ata utendaji wa serikali ungekuwa tofauti na huu wa sasa kwakuwa wangefanya mambo mazuri na ya maendeleo kwa taifa mfano mzuri ni Kenya ambao mpaka hakuna garantee ya kuongoza na nadhani kama kuna udhalimu ama kutowajibika kwa serikali nikwakiasi kidogo ulinganisha na Tz
 
umesema kweli yaani ule moshi wa pale soko la samaki mtu mpaka unachoka kila siku najiuliza ni nani aliamua kuwapa wajapan kile kiwanja na kujenga soko wakati kingejengwa mbali na IKULU yaani ukiwa mle ndani ikulu nikupiga chafya na vikohozi tu na dhani wale wanaofanya kazi maeneo yale na ndani ya ikulu ofisi ya waziri mkuu,na wizara za ardhi,elimu,utumishi,maendeleo ya jamii,magogoni wote mapafu yao yamejaa moshi

kwanini vyote hivyo visihame likabaki hilo soko la samaki?
 
umesema kweli yaani ule moshi wa pale soko la samaki mtu mpaka unachoka kila siku najiuliza ni nani aliamua kuwapa wajapan kile kiwanja na kujenga soko wakati kingejengwa mbali na IKULU yaani ukiwa mle ndani ikulu nikupiga chafya na vikohozi tu na dhani wale wanaofanya kazi maeneo yale na ndani ya ikulu ofisi ya waziri mkuu,na wizara za ardhi,elimu,utumishi,maendeleo ya jamii,magogoni wote mapafu yao yamejaa moshi

kwanini vyote hivyo visihame likabaki hilo soko la samaki? Au nikwavile akinawenze na sisi ndo tunafanya hiyo kazi ndo maana tunakuwa wa kundamizwa kili siku?
 
Roho inauma mkuuu
Wenye data tupeni data kipindi cha Mkapa alitumia sh ngapi kwa ukarabati wa Ikulu....

japo sina data sidhani kama ilikuwa kiasi kikubwa hivi maana nilikua sioni ikipakwa rangi mpya kila wakati na kwenye geti la kuingilia ikulu palikuwa kawaida na hapakuwa na matengenezo kama ya sasa
 
hizo ni pesa za kukarabati state house(ikulu magogoni) na state lodge(ikulu za mikoani) zote za tanzania, zina include ukarabati wa majengo, landscape, ubadilishaji wa furniture,caperts, electrical appliances na vitu vingi tu. Lakini hata hivyo sidhani kama gharama zinakaribia hizo bajeti, unless thamani ya pesa ya tz iwe imeshuka mno.

Kila mwaka! Wana umaana gani!
 
dawa ni kuamka kama Kenya
mawaziri wamefanyiwa usahili kulingana na weledi wao
kenyatta amekataa wabunge kujiongezea posho na amewashangaa kwa lipi walilofanya kwa muda mfupi
sisi tuna unafiki wa kusifia chama changu,chetu ilihali tuukijua rohoni nchi inaelekea shimo la tewa
Bora Lowassa angebaki kuwa waziri mkuu angeshafumua mengi kuliko ilivo sasa.
wabunge kwa unafiki wao hawahoji hizo hela za ikulu za kazi gani kila mwaka

Wewe ndo umepoteza mweleko kabisa kama sisi tuapambana na wezi na wewe ndo unataka warudi madarakani
 
Sasa kikwete anakonda nini na mihela kibao anatengewa ya kuchakachua?

kila mtu akipiata hela huwa anatumia anapendelea kama wewe ni kula ili unenepe basi wengi watapenda kuwa na mademu wazuri na kutumia hizo hela kuwasomeshea hao madem nje ama kuhonga kwa njia nyingine yeyote
 
Sijui mnashangaa nini, hamuoni mantiki ya wabunge wa CCM wakiambiwa kifungu hiki kipitishwe...Ndiyoooo!
 
Nikijua mama ameipigia kura CCM namkana kuanzia siku hiyo, mke wangu namlamba talaka takatifu.
 
kila mtu akipiata hela huwa anatumia anapendelea kama wewe ni kula ili unenepe basi wengi watapenda kuwa na mademu wazuri na kutumia hizo hela kuwasomeshea hao madem nje ama kuhonga kwa njia nyingine yeyote

Matumizi mabaya na ndio maana hazileti matokeo! afya kwanza,hao wengine hawana shukrani
 
Ukarabati wa IKULU
MWAKA;2006-2007
Tsh.6,114,562,685/=
MWAKA;2007-2008
Tsh.5,596,900,000/=
MWAKA;2008-2009
Tsh.5,712,000,000/=
Pesa zinazotumika kukarabati ikulu kila mwaka nisawa na kujenga nyumba za waalimu 611 na chenji inarudi.

Sasa nenda kafanye comprehensive value for money audit. Utakufa kwa kukosa hewa
 
Aisee!
Umeniumiza moyo sana!

Hebu edit kwenye post yako uweke na thamani ya hiyo nyumba moja ya mwalimu!


Sasa nenda kafanye comprehensive value for
money audit na physical verification ya vitu vilivyokuwa purchased out of that budget, Utakufa kwa kukosa hewa
 
Ndo maana uzalendo unapungua na hata kuisha kabisa miongoni mwa vijana wengi kwa sababu vipaumbele vya serikali kama hivi siyo mahitaji ya wananchi. The best we can do is to pray for our leaders Mungu awarudishie akili.
 
Kama nyumba moja ya mwalimu inagharimu tsh 20m. Kwahiyo 1 bilion itajenga nyumba 50. So bilion 17 itajenga nyumba 850 za walimu
 
Nakumbuka alipokuja kofi Annan kipindi cha Mkapa ilikuwa aibu viongozi wanajipepea na magazeti.

Sasa hivi angalau kidogo Ikulu ina sura.
 
huu ni wizi ,tena wizi wa wazwaz..haiwezekani watz tufanywe mandondocha kiasi hicho.Huu ni wizi!!!!!
 
Back
Top Bottom