Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,445
- 2,509
ndio maana nkasema bora angekuwa waziri mkuu hadi leo I mean Lowassa
mengi yangeshafanyika, ana ujasiri wa kuthubutu ingawa sio msafi
sijasema arudi madarakani kwa sasa Shine
hata hivo hakuna hata mmoja CCM alie msafi
wameshauza nchi siku nyingi kwa sasa.
wameshakubali nchi ife kwa matakwa ya wamarekani na Wachina
miradi kama Mkukuta, ina lengo la kuuwa viwanda vyetu
tunarudi kule kule,,,we consume what we are not producing
anad prodcuce what we can not consume.
tutabaki kuwa cheap labour ya wazungu na watoto wetu watarudi kuwa watwana.
Kama kenya walivoshtuka mapema wakamnyima Kura Raila ambae ni kibaraka wa wamarekani na wajerumani
wakampa kenyatta alie mzalendo...
kilichobaki ni kuamka kama Kenywa kuwatia adabu wauza nchi wote na kuwafukuzia mbali.
mengi yangeshafanyika, ana ujasiri wa kuthubutu ingawa sio msafi
sijasema arudi madarakani kwa sasa Shine
hata hivo hakuna hata mmoja CCM alie msafi
wameshauza nchi siku nyingi kwa sasa.
wameshakubali nchi ife kwa matakwa ya wamarekani na Wachina
miradi kama Mkukuta, ina lengo la kuuwa viwanda vyetu
tunarudi kule kule,,,we consume what we are not producing
anad prodcuce what we can not consume.
tutabaki kuwa cheap labour ya wazungu na watoto wetu watarudi kuwa watwana.
Kama kenya walivoshtuka mapema wakamnyima Kura Raila ambae ni kibaraka wa wamarekani na wajerumani
wakampa kenyatta alie mzalendo...
kilichobaki ni kuamka kama Kenywa kuwatia adabu wauza nchi wote na kuwafukuzia mbali.
Wewe ndo umepoteza mweleko kabisa kama sisi tuapambana na wezi na wewe ndo unataka warudi madarakani