Yapo ya kusahau lakini sio hili!

Yapo ya kusahau lakini sio hili!

Aisee!
Umeniumiza moyo sana!

Hebu edit kwenye post yako uweke na thamani ya hiyo nyumba moja ya mwalimu!
 
cc to Chirs lukosi
chama
Ritz
TandaleOne
mwaka huu ikulu pia imetenga bil 29 kwa ajili ya kufuatilia miradi
 
Last edited by a moderator:
Ukarabati wa IKULU
MWAKA;2006-2007
Tsh.6,114,562,685/=
MWAKA;2007-2008
Tsh.5,596,900,000/=
MWAKA;2008-2009
Tsh.5,712,000,000/=
Pesa zinazotumika kukarabati ikulu kila mwaka nisawa na kujenga nyumba za waalimu 611 na chenji inarudi.

Inatia hasira mno!
 
Ukarabati wa IKULU
MWAKA;2006-2007
Tsh.6,114,562,685/=
MWAKA;2007-2008
Tsh.5,596,900,000/=
MWAKA;2008-2009
Tsh.5,712,000,000/=
Pesa zinazotumika kukarabati ikulu kila mwaka nisawa na kujenga nyumba za waalimu 611 na chenji inarudi.
Bora wangejenga Ikulu nyingine Dodoma na pale pabakie kuwa soko la Samaki
 
>Hivi zile za kuziba tobo la dali ya bunge zilikuwa Billion ngapi?


>Kufa hatutokufa ila cha moto tutakiona.
 
Shida moja ni kwamba, wananchi wengi kule vijijini ambako CCM inavuna kura kijeuri, wakiona hizo namba hawaelewi. Watanzania wengi ukiwaambia bilioni moja hawaelewi kama unazungumzia milioni elfu moja.

Ndio maana hata ilipotajwa bilioni moja ya kununua makaburi hakuna aliyerudisha kadi ya CCM. Na amini nawaambia, hayo makazi ya wafu yakishajengwa, utasikia kuna mamilioni ya shilingi yanatengwa kuya-maintain.
 
>Hivi zile za kuziba tobo la dali ya bunge zilikuwa Billion ngapi?


>Kufa hatutokufa ila cha moto tutakiona.[/QUO
nadhani bil 6 na kuna mbunge alisimama akaomba zipungue hadi 500 ml .
huu uzi hutaona Gamba hata moja
 
Ukarabati wa IKULU
MWAKA;2006-2007
Tsh.6,114,562,685/=
MWAKA;2007-2008
Tsh.5,596,900,000/=
MWAKA;2008-2009
Tsh.5,712,000,000/=
Pesa zinazotumika kukarabati ikulu kila mwaka nisawa na kujenga nyumba za waalimu 611 na chenji inarudi.

Nchi masikini,bajeti inabana,hatuna uwezo! Maza Fanta!!
 
Bilioni sita kwa nyumba 611 ume under estimate mkuu! kumbuka nyumba za walimu hasa kule mikoani ni paa la bati la kawaida na tofari za kuchoma na sakafu chini, ambapo nyumba ya vyumba vitatu haizidi milioni tano! hizo ni nyumba zaidi ya 1200 kwa standard hiyo! Tena kwingineko wananchi hujitolea nguvu zao kujenga bure na kuchoma tofari bure!

Mungu tunusuru na huu wizi wa mchana kweupe!

 
Ukiwabana sana watasema Ikulu inakarabati na "kitengo" maalum ambacho hakiwezi kukaguliwa na CAG.
 
"Kama ni nyasi mtakula, lakini Ikulu ya Magogoni lazima ikarabatiwe kila mwaka"
 
Hii ni nchi masikini haiwezi kujenga nyumba kiasi hicho....! hivyo basi serikali inayoongozwa na CCM ni sikivu. walimu si wanamishahara yao? Mnataka raisi anyeshewe mvua?..........ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
ahahahahaaaaaaaaaa......kwakweli huyu raisi wetu ni noumaaaaa...hivi ukarabati wa ikulu unahusisha na yale majengo ya kule kijijini kwetu msoga??..just 4 curiosity purposes....kwa anayejuwa anijuze zaidi.
 
Ukarabati wa IKULU
MWAKA;2006-2007
Tsh.6,114,562,685/=
MWAKA;2007-2008
Tsh.5,596,900,000/=
MWAKA;2008-2009
Tsh.5,712,000,000/=
Pesa zinazotumika kukarabati ikulu kila mwaka nisawa na kujenga nyumba za waalimu 611 na chenji inarudi.

hizo ni pesa za kukarabati state house(ikulu magogoni) na state lodge(ikulu za mikoani) zote za tanzania, zina include ukarabati wa majengo, landscape, ubadilishaji wa furniture,caperts, electrical appliances na vitu vingi tu. Lakini hata hivyo sidhani kama gharama zinakaribia hizo bajeti, unless thamani ya pesa ya tz iwe imeshuka mno.
 
Back
Top Bottom