Yapo ya kusahau lakini sio hili!

Yapo ya kusahau lakini sio hili!

Hii ni nchi masikini haiwezi kujenga nyumba kiasi hicho....! hivyo basi serikali inayoongozwa na CCM ni sikivu. walimu si wanamishahara yao? Mnataka raisi anyeshewe mvua?..........ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

huyu ni shigela tunaemjua au mwingine (ame-fake id), kama ni hivyo basi uwezo wake wa kufikiria utakuwa mdogo sana.Kama ni ishu ya mshahara kwani raisi hana mshahara, kumbe hizo bilioni kumi na saba kwa miaka miatatu ni kwa ajili ya kuezeka paa tuu.Dah kweli hii ni Tanzania zaidi ya tuijuavyo...hahahahahahaha!!!!
 
I do reserve my comments hadi wafuatao wachangie: Ritz, Chama,Majebele et al.
 
Aiseee! inawezekana kuna mahali tumemkosea mungu, haiwezekani aruhusu tuadhibiwe hivi. nafikiri tumekosea sehemu atuhurumie.
 
Ukarabati wa IKULU
MWAKA;2006-2007
Tsh.6,114,562,685/=
MWAKA;2007-2008
Tsh.5,596,900,000/=
MWAKA;2008-2009
Tsh.5,712,000,000/=
Pesa zinazotumika kukarabati ikulu kila mwaka nisawa na kujenga nyumba za waalimu 611 na chenji inarudi.

mkuu, ukiyawazia haya utakufa kabla ya muda wako mkuu!

nakala kwa mimisa
 
Last edited by a moderator:
Tanzania imekufa siku nyingi na watu wake ni porojo tuu, vitendo hakuna Yupo Mungu wa Yakobo yatakwisha kwa uweza wa Mungu.
 
Aisee!
Umeniumiza moyo sana!

Hebu edit kwenye post yako uweke na thamani ya hiyo nyumba moja ya mwalimu!

mmmhhh acha tu ndugu yangu, polepole naelekea kuamini kuwa hii ni nchi ya wachache sana, mm nikiwa si mmojawapo!!

imagine kocha wa manchester city anavunjiwa mkataba wake halafu analipwa paundi milioni 12 (2,500tshs x 12,000,000 =30,000,000,000 yaani 30bln) imagine sisi tuna mabilionea wangapi kwa hela za madafu hapa tz??
 
Bora wangejenga Ikulu nyingine Dodoma na pale pabakie kuwa soko la Samaki
umesema kweli yaani ule moshi wa pale soko la samaki mtu mpaka unachoka kila siku najiuliza ni nani aliamua kuwapa wajapan kile kiwanja na kujenga soko wakati kingejengwa mbali na IKULU yaani ukiwa mle ndani ikulu nikupiga chafya na vikohozi tu na dhani wale wanaofanya kazi maeneo yale na ndani ya ikulu ofisi ya waziri mkuu,na wizara za ardhi,elimu,utumishi,maendeleo ya jamii,magogoni wote mapafu yao yamejaa moshi
 
Ukarabati wa IKULU
MWAKA;2006-2007
Tsh.6,114,562,685/=
MWAKA;2007-2008
Tsh.5,596,900,000/=
MWAKA;2008-2009
Tsh.5,712,000,000/=
Pesa zinazotumika kukarabati ikulu kila mwaka nisawa na kujenga nyumba za waalimu 611 na chenji inarudi.

Kukarabati mabehewa tuu

Billion 1.2 mpaka atowe Bhaharesa. Kweli tunalipakodi zetu kwa serikali dharimu.
 
Roho inauma mkuuu
Wenye data tupeni data kipindi cha Mkapa alitumia sh ngapi kwa ukarabati wa Ikulu....
 
Hii ni nchi masikini haiwezi kujenga nyumba kiasi hicho....! hivyo basi serikali inayoongozwa na CCM ni sikivu. walimu si wanamishahara yao? Mnataka raisi anyeshewe mvua?..........ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Aise hivi wewe ni kiongozi mwandamizi wa Maccm,.!?

WaTanzania mmemsikia Shigella..Ni msukuma mwenzangu ila ni mpuuzi..
 
mkuu vitu vingine vinaume sana tazama hii hapa.


"RICHMOND=697 BILLION=142 PRIMARY SCHOOL CLASSES AND PAID 6800 PRIMARY SCHOOL TEACHERS"
 
hizo ni pesa za kukarabati state house(ikulu magogoni) na state lodge(ikulu za mikoani) zote za tanzania, zina include ukarabati wa majengo, landscape, ubadilishaji wa furniture,caperts, electrical appliances na vitu vingi tu. Lakini hata hivyo sidhani kama gharama zinakaribia hizo bajeti, unless thamani ya pesa ya tz iwe imeshuka mno.
lakini mbona toka enzi za mkapa hadi kikwete nikiona rais anaongea au anaagana na mabalozi wa nje kwenye tv huwa naona zile kochi chakavu(mbaya kuliko zangu) huwa ni zilezile ?? wanabadilisha nini sasa??? au zile kapeti nyekundu
 
dawa ni kuamka kama Kenya
mawaziri wamefanyiwa usahili kulingana na weledi wao
kenyatta amekataa wabunge kujiongezea posho na amewashangaa kwa lipi walilofanya kwa muda mfupi
sisi tuna unafiki wa kusifia chama changu,chetu ilihali tuukijua rohoni nchi inaelekea shimo la tewa
Bora Lowassa angebaki kuwa waziri mkuu angeshafumua mengi kuliko ilivo sasa.
wabunge kwa unafiki wao hawahoji hizo hela za ikulu za kazi gani kila mwaka
 
Sasa kikwete anakonda nini na mihela kibao anatengewa ya kuchakachua?
 
Back
Top Bottom