ESCORT 1 JF-Expert Member Dec 7, 2015 1,267 2,519 Nov 22, 2023 #1 Dakika chache zilizopita Yanga wamezindua jezi zake kwa ajili ya klabu bingwa africa. Ni jezi nzuri mwananchi usipange kuzikosa. Nashindwa kupandisha picha hapa ila jezi ni kali, Sheria Ngowi apewe maua yake
Dakika chache zilizopita Yanga wamezindua jezi zake kwa ajili ya klabu bingwa africa. Ni jezi nzuri mwananchi usipange kuzikosa. Nashindwa kupandisha picha hapa ila jezi ni kali, Sheria Ngowi apewe maua yake
Robidinyo JF-Expert Member Feb 20, 2016 3,742 7,697 Nov 22, 2023 #2 Hayo matambala ya deki ndo mnasema kali, au hamjui jezi kali nyie utopwowise
Greatest Of All Time JF-Expert Member Jan 1, 2017 20,722 45,128 Nov 22, 2023 #3 Huyu sheria kila siku anaandika majina ya wachezaji kwenye jezi🚮
Tate Mkuu JF-Expert Member Jan 24, 2019 28,401 81,884 Nov 22, 2023 #4 Greatest Of All Time said: Huyu sheria kila siku anaandika majina ya wachezaji kwenye jezi🚮View attachment 2821728 Click to expand... Wivu.
Greatest Of All Time said: Huyu sheria kila siku anaandika majina ya wachezaji kwenye jezi🚮View attachment 2821728 Click to expand... Wivu.
Kalpana JF-Expert Member Jun 16, 2017 26,857 50,048 Nov 23, 2023 #7 Kawaida bana mkali kwny camera na uliodetiwa... Ni maoni yangu yazingatiwe 🐸 🐸 🐸 🤣