Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,777
- 24,211
YANGA NDIO TIMU PEKEE YA TANZANIA AMBAYO INAWEZA KUCHEZA NA MAMELOD SUNDOWNS
"Daraja la ubora wa Mamelodi liko juu zaidi kuliko Yanga, lakini ukitazama mara ya Mwisho Mamelod kubwa bingwa ni 2016 toka hapo Amefika Nusu fainali mara mbili tu, mara zote amekuwa akiishia hatua ya robo fainali.
"Kumtoa Mamelod inawezekana lakini inapaswa kuwa na mpango mkakati zaidi, Ukweli ubora wa Mamelod kuheshimika Kwa kufanya ulinganisho wa vikosi vyote viwili.
"Ubora wa Yanga inaweza kuitoa Mamelod Sundowns na Yanga hii ndio timu pekee kutoka Tanzania ambayo inaweza kuwatoa Mamelod kutokana na ubora wao".
George Job (Wasafi FM) akizungumza kuelekea mchezo wa Yanga dhidi ya Mamelod kwenye robo fainali ligi ya Mabingwa Barani Africa.