THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,729
- 3,290
Kiukweli yanga imeiva sana..huwez ilinganisha na Simba ya Kipindi kile katika ubora wao.
Yanga hii inapiga Vigogo kwelikweli.
Ila we Simba ya Kipindi kile inafunga Team kama
NKANA serious!!!
Hii Yanga imebakiza Team Mbili tu kuzipasua nazo ni Mamelodi na Al Ahly ambazo naamin Next round yanga anaenda kumpasua Ahly Cairo.
Fainali au kivyovyote akikutana na Mamelodi atampasua Mamelodi.
Yanga ya Moto imepasua tema kama
BELOUZIDAD
TP MAZEMBE
MONASTR
USMA
ongeza Zingine
Half leta Team ambazo Simba alizipasua.
Ety
Nkana
Jwaneng😂😂😂
Yanga hii inapiga Vigogo kwelikweli.
Ila we Simba ya Kipindi kile inafunga Team kama
NKANA serious!!!
Hii Yanga imebakiza Team Mbili tu kuzipasua nazo ni Mamelodi na Al Ahly ambazo naamin Next round yanga anaenda kumpasua Ahly Cairo.
Fainali au kivyovyote akikutana na Mamelodi atampasua Mamelodi.
Yanga ya Moto imepasua tema kama
BELOUZIDAD
TP MAZEMBE
MONASTR
USMA
ongeza Zingine
Half leta Team ambazo Simba alizipasua.
Ety
Nkana
Jwaneng😂😂😂