Yanayojiri mkutano wa NCCR - Disemba 17, 2011

Status
Not open for further replies.
kuendelea kuimarika kwa CHADEMA kwa kiasi fulani kutategemea matokeo ya kikao cha NCCR leo!!
  1. James Mbatia akishindwa na kuondolewa kwenye nafasi yake ya Uenyekiti, kutafanya CHADEMA kuyumba maana Kafulira atakuwa ameshinda. Huyu akishinda, atakuwa amedhihirisha uimara wake kisiasa na ataendeleza chokochoko zake kwenye CHAMA alichotoka na ataendelea kumshawishi Zitto Kabwe ajiunge naye apewe uenyekiti.
  2. Nafasi ya Uenyekiti NCCR ikiwa wazi; itatumika kama kishawishi cha kuiumbisha CHADEMA hasa Zitto ambaye atashawishiwa kujiunga na NCCR ili mkoa wa Kigoma ugeuzwe kuwa ni Kanda inayomilikiwa na NCCR.
  3. James Mbatia akishinda katika mgogoro huu na kufanikiwa kuwafukuza baadhi ya wanachama wake, kutakifanya CHADEMA kuvuna wanachama wengi wa NCCR ambao hawatakubaliana na maamuzi. Uwezekano utakuwa ni mkubwa Mkosamali na Kafulira watarudi CHADEMA na kudhaminiwa na chama hicho ktk uchaguzi mdogo ambao bila shaka utawarudisha bungeni kwa tiketi ya CHADEMA na kukifanya chama hicho kuongeza idadi ya Wabunge.

umeandika nini?
 
chama chetu cha mapinduzi chajenga nhi chama chetu chama pinduzi chajenga nchi nyereeeeeee aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
mbatia wajenga nchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

uliifikiri nchi ya ulaya nhci tanzania bana
 
Tujuzeni kikao kimeishia wapi sio kuanza kuambizana huyu namjua huyu si mjui,kama kuna taarifa iwekeni hapa
 
Huyu Mwanalugali ni pandikizi la magamba kwa ajili ya kubomoa upinzani. Jina lake sahihi nalijua kabisa.
 
kuendelea kuimarika kwa CHADEMA kwa kiasi fulani kutategemea matokeo ya kikao cha NCCR leo!!
  1. James Mbatia akishindwa na kuondolewa kwenye nafasi yake ya Uenyekiti, kutafanya CHADEMA kuyumba maana Kafulira atakuwa ameshinda. Huyu akishinda, atakuwa amedhihirisha uimara wake kisiasa na ataendeleza chokochoko zake kwenye CHAMA alichotoka na ataendelea kumshawishi Zitto Kabwe ajiunge naye apewe uenyekiti.
  2. Nafasi ya Uenyekiti NCCR ikiwa wazi; itatumika kama kishawishi cha kuiumbisha CHADEMA hasa Zitto ambaye atashawishiwa kujiunga na NCCR ili mkoa wa Kigoma ugeuzwe kuwa ni Kanda inayomilikiwa na NCCR.
  3. James Mbatia akishinda katika mgogoro huu na kufanikiwa kuwafukuza baadhi ya wanachama wake, kutakifanya CHADEMA kuvuna wanachama wengi wa NCCR ambao hawatakubaliana na maamuzi. Uwezekano utakuwa ni mkubwa Mkosamali na Kafulira watarudi CHADEMA na kudhaminiwa na chama hicho ktk uchaguzi mdogo ambao bila shaka utawarudisha bungeni kwa tiketi ya CHADEMA na kukifanya chama hicho kuongeza idadi ya Wabunge.

Ni nini hiki sasa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom