Mbatia sio mpinzani wa kweli amezoea maisha ya kupatiwa sio kujitafutia. Hivyo kwake hongo ni halali wala hajaanza leo ni kigeugeu sie tunamfahamu tangu shuleni Kilimanjaro boys. Tunayo mengi yanayomhusu, anachangia kuivuruga upinzani kwasababu ya tamaa yake. Akina Mkosamali ilitakiwa watafute chama cha kujiunga nacho tangu mwaka 2009 hata ivyo hawajachelewa wanaweza kuhama hata sasa kwani. Kwa nccr hawataweza kufanya chochote watazidi kuitwa ccm B kwa sababu ya mwenyekiti wao. Na wao wanapendwa kwa sababu ya ubunge (Ruzuku) bila ubunge sudhani kama wangekuwepo nccr. Kafulila kufanya kosa si kosa baya ni kurudia kosa tafuta chama makini hata ikibidi kawaombe ndg zako msamaha. Ili msameane na kuendeleza ndoto zako za kisiasa. Ndani ya nccr mtakuwa na ugomvi kila siku na mwishowe watakuchomekea kitu ambacho utakisahau. Mbatia anahongwa ili avuruge upinzani na hilo linajulikana na hata Mvungi nae yumo kwenye io list. Mjiangalie mko wapi msichelewe bado mapema yani ndio tumemaliza mwka mmoja tu.