Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano Tarehe 26 Machi 2014

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano Tarehe 26 Machi 2014

Mvutanoooo unaoendeleaa ni muhimuu sanaa katika kufikia maridhianoo mazuri kwa masilahii mapanaa ya umma. Naungaa mkonooo malumbano, mvutanoo yenye nia ya kufikiaa maridhianoo.
 
Tuamue moja . Sisi wananchi tuwaruhusu hawa Wataka Posho Watwangane Ngumi za uso humo Bungeni kama saa 1 hivi. Baada ya hapo waanze huo mchakato wa Katiba wakiwa wanaheshimiana. Mimi naona uharo tu unaoendelea humo bungeni.
 
utolewe tu nakuunga mkono mkuu

Sent from my e1808_v75_hjy1a6x using JamiiForums mobile app
 
Mvutanoooo unaoendeleaa ni muhimuu sanaa katika kufikia maridhianoo mazuri kwa masilahii mapanaa ya umma. Naungaa mkonooo malumbano, mvutanoo yenye nia ya kufikiaa maridhianoo.

Hivi uchaguzi Chalinze ni tarehe ngapi?
 
Hawa wazee hata hivi akili zimeanza kulala. Lakini hawataki kupumnzika!
 
Sita alichaguliwa akasimamie kanuni au atunge kanuni sasa kificho alikuwa na kazi gani

Kama vipi Sitta aondolewe aletwe Kificho amalizie kazi aliyoonza kwa ufanisi. Huyu Sitta yupo njia panda. mwisho wa siku atashindwa kuwatumikia mabwana wawili au watatu - CCM, Urais 2015, Speed and Standards. Achague moja kati ya hayo.
 
^^
images (7).jpg

Sitaki kuamini kuwa Sitta hujui sheria, nashawishika kuamini kuwa unatumika kupitia MEMO hili litabomoa taswira njema uliyojijengea huko nyuma.
USIHUZUNIKE njia ni kujiuzulu kulinda heshima yako
^^
 
Kwa hisani ya watu....
Hivi haiwezekani kukodi spika kutoka nje aje aongoze Bunge hili kwa ufanisi bila kuogopa chama chochote au maslahi yake?
maana tayari huyu ameshindwa.
 
The fall of Samwel Sita.
Tiittle ya kijitabu kitakachotoka soon.
 
Mzee Sitta alitegemea kutumia nafasi hii kujijenga na kujitangaza vizuri katika kinyang'anyiro cha urais, kumbe ndiyo anajiharibia kabisa. Naona upeo wa CCM katika kuburuza mambo sasa ndiyo umefikia MWISHO.
 
Anaanza kupoteza sifa yake kwa kutumiwa huu ndo utakuwa mwisho wake anapotea kwenye gemu alililia umwenyekiti wajanja wakampa sasa nijuu yake kuamua afe yeye au wafe wao.
 
Sita anatumiwa na CCM hataki ila hana jinsi,ndo mana anampa nafasi Tundu Lisu na Jusa kuchochea kuni
 
Namwambia Sita kuwa hili sio bunge la chama ni la watanzania ambao wengi hawana vyama.Ulimi wa uongo ni wa kitambo tu.Historia itakukumbuka kama mtu uliyeshindwa kusimamia haki na mategemeo ya Watanzania
 
Back
Top Bottom