Hakika mkuu. Ila hapa kinachoendelea ni kurunga katiba ya wananchi ambao na ccm ni miongoni mwao
Hili bunge limekuwa kama ngumi za enzi zile bondia Mike Tyson akiwa kwenye chati kwa kuwa linanyika kwa dakika tano linaahirishwa. Nimewahi kutoka kazini niangalie bunge nafika namuona 6 anaairisha bunge
Sitta nafikiri kuna kitu anakionyesha. Nafikiri, nikimwangalia, anaonyesha wazi kuwa kuna force/pressure behind him. Nafikiri anachokifanya ni kuwaonyesha ccm kuwa wanachokitaka hakiwezekani. Kwa hiyo huku kuahirisha bunge kila mara ni kuonyesha ama Rais avunje bunge au wamwache afanye kazi yake kiweledi. Mfano mzuri ni ni hata aliowapa nafasi ya kuongea! Hili bunge halitaishi, soon linavunjika!
insanity