Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
insanity
Hii nchi sasa inaelekea ndiko siko, naomba Bunge livunjwe na twendelee na katiba viraka, no way out
Haya yanayoendelea Bungeni yanasikitisha sana kwa kweli, nashindwa kuamini kama huyu ndiye Sitta tuliyekuwa tukimfahamu.
U r rightSitta nafikiri kuna kitu anakionyesha. Nafikiri, nikimwangalia, anaonyesha wazi kuwa kuna force/pressure behind him. Nafikiri anachokifanya ni kuwaonyesha ccm kuwa wanachokitaka hakiwezekani. Kwa hiyo huku kuahirisha bunge kila mara ni kuonyesha ama Rais avunje bunge au wamwache afanye kazi yake kiweledi. Mfano mzuri ni ni hata aliowapa nafasi ya kuongea! Hili bunge halitaishi, soon linavunjika!