Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano Tarehe 26 Machi 2014

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano Tarehe 26 Machi 2014

mpaka sasa naendelea kutafkari kwa nini Tundu lisu au Pro. Safari hawakugombea na wamemwacha huyu mnafiki. Kinachoendelea sasa hakitaki hata division 5 kujua kuwa bunge malum la katiba linaongozwa na ikulu.
hii nchi inaelekea kubaya.

Ndugu yangu mbona unauliza kama vile hujui!Haya unayoyaona yalipangwa.Kwa hali ilivyo hata angegombea Prof Safari au mpinzani yeyote asingepata kwa kuwa tayari CCM ni wengi na uteuzi wa wajumbe 201 wa rais umeendelea kuwaongeza. CCM haikuwahi kuwa na dhamira na jambo hili kwa hiyo litavurugwa kwa jinsi wanavyoweza.Hujafuatilia yaliyotokea kwenye kuchagua viongozi wa kamati 12?Fungukeni macho kwa kuwa kile wananchi mlichopendekeza kitatupwa kapuni na CCM walete kile wanachotaka cha kuwahakikishia umilele wa dola yao wanaozungumzia kila wakati.
 
Nimesema kwenye uzi flani hakuna katiba mpya na moja ya mbinu wanazotumia ni kupoteza muda kama hivi mwisho wa siku wapinzani wachukie walianzishe na ndio iwe sababu ya kusitisha bunge la katiba nakupisha bunge la bajeti wananchi tuwawajibishe hawa ccm kwa nguvu ya umma....tuwakatae wajumbe wote wakuteuliwa kwa hili tumekwisha kila siku kuapishwa hawaishi???? you can fool some people sometimes but you cant fool all the people all the time bhana.
 
Nipeni ufafanuzi,nini maana ya Sitta kufungua bunge then baada ya dakika 3 anasitisha shughuri za bunge? Kwanin amewasumbua wajumbe wote 600 wakati alijua anakuja kutangaza tangazo moja na kuondoka kwanin hilo tangazo asingewatumia email wenyekiti wa hizo kamati ili wawataarifu members wao? Au wasipokuja hawapati posho?
 
Wadau sisi huku tupo mbali na tumekuwa na ham kujuwa kila kinachoendelea huko bungeni kila saa kila dakika nimejaribu kufunugua star tv online inakataa sasa tunaomba updates.,
 
Ee mungu walaani wabunge wanafiki wasiokuwa na nia njema na nchi hii haswa mwenyekiti sita na ccm wote kwa uwezo wako ipo siku yao tuletee ukombozi wa taifa hili kutoka mikononi mwa wakoloni hawa weusi


AMEN
 
Nipeni ufafanuzi,nini maana ya Sitta kufungua bunge then baada ya dakika 3 anasitisha shughuri za bunge? Kwanin amewasumbua wajumbe wote 600 wakati alijua anakuja kutangaza tangazo moja na kuondoka kwanin hilo tangazo asingewatumia email wenyekiti wa hizo kamati ili wawataarifu members wao? Au wasipokuja hawapati posho?
Mkuu, unapaswa kujua kanuni za bunge zinasemaje. Kwani ulitaka hilo bunge lisitishwe kabla halijaitishwa?
 
Ee mungu walaani wabunge wanafiki wasiokuwa na nia njema na nchi hii haswa mwenyekiti sita na ccm wote kwa uwezo wako ipo siku yao tuletee ukombozi wa taifa hili kutoka mikononi mwa wakoloni hawa weusi


AMEN
Katu siwezi kuitikia dua hiyo maana huenda hata hao unaowaona ni wazuri wakawa ni wabaya. Pia hao unaowaona ni wabaya wakawa ni wazuri
 
Wanakula kodi zetu tuu bure kila saa bunge linaahirishwa
 
Wadau sisi huku tupo mbali na tumekuwa na ham kujuwa kila kinachoendelea huko bungeni kila saa kila dakika nimejaribu kufunugua star tv online inakataa sasa tunaomba updates.,

Pole sana ndugu bunge limeharishws mpaka saa 10 jioni. Tipps jaribu kuwa unafungua "wavuti"maana hiyo Website unaweza kuna star TV au TBC online
 
Wala sio kibabu ni kiajuza kanafikiria kujenga ofisi ya mwenyekiti wa bunge la kanaCVMurambo kama alivyojenga ofisi ya spika haka kaajuza kanafiki sana kama ajuza FaizaFoxy

Eti na chenyewe kinataka kuwania Urais sijui kupitia chama gani labda ACT maana Chadema kilishanyea kambi, CCJ kiliacha watu kwenye mataa kwa ajili ya uroho wa madaraka,na CCM Team Lowassa imekiingiza King juu ya uwenyekiti kwa Bunge la katiba na chenyewe bila kufikiria kikaingia.. Sasa subiri Bunge linavunjika na ndio mwisho wa Sitta maana kama atashindwe kuliongoza Bunge mpaka mwisho je uraisi atauweza? Babu yuko njia panda hajui ashike lipi.
 
OK umetetea vizuri, lakini mmmmm! Wazungu wanafurahia sana kuonyesha utupu kwa sababu ati ni moja ya burudani kwao na ni kichocheo kwa watu wao kuunganika kwa jinsia zao tofauti. Ukienda Scandinavia nchi yoyote, hata matangazo ya kibiashara wanayahusisha sana na utupu wa kiume au kike na tendo la viungo hivyo kwani vijana wengi ndo wanataka, tena matangazo hayo zaidi ya kuhamasisha biashara yanawafanya watu wacheke kuongeza uhai na pia yanawahamasisha kuzaliana, kwani wanawake zao ni wagumu kukubali kuzaa ati wanazeeka haraka. Ndo maana kila mwanamke akizaa ni kama kitegauchumi, anaongezewa misaada kwa ajili ya mkila mtoto, mfano matumizi ya winter, matumizi ya summer, nk. Nikupe mfano: mtu wakati wa winter anataka kukojoa, mikono haiwezi kufungua zipu ingawa ametoa gloves za mkononi za winter, jamaa anahangaika sana akikata kiuno kulazimisha zipu ifunguke..... zipu inafunguka na halafu mtangazaji anasema ..."NOKIA, CONNECTING PEOPLE!" Ndo wazungu hao mkuu, wana akili nyingi na huwafungi kwa tangazo lao lenye hisia mbili tofauti.

nakuunga mkono Mkuu. Kuna wakati nilitembelea Denmark na Uswidi statue nyingi nilizoziona nilikuwa nashangaa (huku kwetu si kawaida) zikiwa zimewekewa utupu wa me au ke. Kwao ni kawaida kabisa. au kukuta mlango unaoingia ukiwa umetengenezwa mithili ya uke au sehemu ya haja kubwa
 
Katu siwezi kuitikia dua hiyo maana huenda hata hao unaowaona ni wazuri wakawa ni wabaya. Pia hao unaowaona ni wabaya wakawa ni wazuri

Hajazungumzia hao wazuri. Anawazungumzia hawa wabaya ili wabadilike wawe wazuri!!!!!
 
ndugu yangu mbona unauliza kama vile hujui!haya unayoyaona yalipangwa.kwa hali ilivyo hata angegombea prof safari au mpinzani yeyote asingepata kwa kuwa tayari ccm ni wengi na uteuzi wa wajumbe 201 wa rais umeendelea kuwaongeza. Ccm haikuwahi kuwa na dhamira na jambo hili kwa hiyo litavurugwa kwa jinsi wanavyoweza.hujafuatilia yaliyotokea kwenye kuchagua viongozi wa kamati 12?fungukeni macho kwa kuwa kile wananchi mlichopendekeza kitatupwa kapuni na ccm walete kile wanachotaka cha kuwahakikishia umilele wa dola yao wanaozungumzia kila wakati.
unafiki wenu sasa unajidhirisha.mlifikiria sitta atawaonea huruma...hapa ni katiba hakuna cha huruma kanunu ndo zinatawala
 
Yaani wameamka asubuhi asubuhi huko walikolala, wanaingia humu ndani wanakaa dk 10 bunge linahirishwa. Ok, kamati ya kanuni inaenda kuendelea na kazi ambaya haikumalizika hapo jana, hao wajumbe waengine wanaenda kulala au watakuwa wanafanya nini hadi hiyo saa kumi jioni?

Inasemekana michepuko imeshika kasi Dodoma maana waheshimiwa hawana kazi ya kufanya wanashinda hotelini!!
 
Chama chetu cha mapinduzi chajenga nchi
KIITIKIO; Chama chetu chetu cha mapinduzi chajenga nchi
Aaah wapi huu wimbo hata wenyewe siku hizi wanaona haya kuuimba
 
Back
Top Bottom