Hakika mkuu. Huyu Devota wakati wenzake wanaapa alikuwa kwao Songea ambako alienda kutokana na kufiwa na baba yake mzazi
Asante kwa taarifa, kama binadamu mwenzangu nasema pole kwa wafiwa na Mwenyezi Mungu awajalie moyo wa uvumilivu ktk kipindi chote cha kumkumbuka marehemu.