Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano Tarehe 26 Machi 2014

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano Tarehe 26 Machi 2014

Alivyo kigeugeu, juzi alitangaza kwamba kuanzia leo watajadili hotuba ya Jk na ya Warioba, leo kakataa! Huyu kweli ni KINYONGA.
Alikuwa anasema yeye ni chura! Huyu siyo chura ni KINYONGA... Tena mwenye pembe...
 
Huyu mwenyekiti niliwaambia hafai watu wakasena ana viwango wapinzani wakampigia debe tena kwa kuongozwa na tundu lisu et jk anaongea yy anampa maneno sio kujipendekeza huko jamaaa kawa jeuri pigeni kura ya kutokuwa na imani mumtoe mapema

wapinzani wanani wale mi huwa nawaona kama mahawala wa chama tawala juice ya ikulu imewalewesha na posho imewatoboa macho,watu 6,6,6,amewahi kufanyia nini jambo jema taifa hili?
 
Hili Bunge linnonekana kuwa litavunjika ndio maana Sitta anatafuta kuvuta siku ili posho iingie haiwezekani watu wanakutana na kuhairisha inamaana hakuna mambo mengine ya kufanya?
 
Hili Bunge linnonekana kuwa litavunjika ndio maana Sitta anatafuta kuvuta siku ili posho iingie haiwezekani watu wanakutana na kuhairisha inamaana hakuna mambo mengine ya kufanya?
kwa jinsi inavyoonekana huyu six anaendeshwa na watu maalum walio nje ya bunge hili maalum.... na hiki cha leo ndicho walichomuelekeza afanye. bt tatizo linaahirishwa kwa muda tu, lipo palepale
 
Wabunge wengi wamekusanyika nje ya ukumbi wa Bunge wakitafakari mambo mbalimbali. Kundi la Tanzania Kwanza litakuwa na kikao Leo saa tano asubuhi
 
Ili jimaaa si lilisema eti 'kwa kasi na kwa viwango' kama kuna mtu nimemchukia siku chache hizi basi ni ili lijamaa la urambo mashariki.

Mkuu, ni kwa vile kuna mabo hayajakaa sawa kama tangazo lilivyosema
 
Wapuuzi hawa!
Waafrika tutabaki nyuma siku zote kwa kutojali muda!
Chaajabu hela haziahirishwi, wanapewa tu! Poor Tanzania!
 
Wabunge wengi wamekusanyika nje ya ukumbi wa Bunge wakitafakari mambo mbalimbali. Kundi la Tanzania Kwanza litakuwa na kikao Leo saa tano asubuhi

Hao wanatafakari njia za kuhairisha na mabunge mengine ili wafaidi hela zetu!
Mbona hawairishi kulipwa?
 
Suluhisho ni wajumbe wasio wa CCM- wajumbe wenye nia kweli ya Katiba ya wananchi ni kususia bunge na kurudi nyumbani.

Na mie wazo langu ni hilo hilo ili tuwaachie watunge katiba yao ya ki-CCM..nged..wakubwa hawa
 
Zimebaki siku 43 za kujadili rasimu ya katiba,sheria imeweka mpaka wa siku za kujadili kwahiyo zikiisha,zoezi litaahirishwa hadi mwaka 2020.
 
Kumbukeni jamani tunaandika katiba hapa, haraka ya nn? Maana hata wakipewa muda humo ndani hakuna wanachoongea zaidi ya kuoneshana ubabe tuu, mwingine nae hata hajui kafata nn hapo baada ya kuteuliwa kajitoa kisa wajumbe wengi wa ccm amesahau hata chama chake cha cuf pamoja na kuwa na nguvu zanzibar hawakupewa nafasi ya waziri kivuri na cdm kwenye bunge la jamhuri. Cjwahi kuona upinzani dhiafu katika nchi hii ambapo mbinu wanayotumia kila cku ni nguvu badala ya hoja. katika siasa hoja yeyote hupita baada ya kuungwa mkono na wengi leo iweje wahoji uhalali wa ccm kuwa wengi.
 
Zimebaki siku 43 za kujadili rasimu ya katiba,sheria imeweka mpaka wa siku za kujadili kwahiyo zikiisha,zoezi litaahirishwa hadi mwaka 2020.
Sidhani kama bunge litafanikiwa kukamilisha kazi yake ndani ya muda huo ulioweka kisheria
 
Huyu Six kama alitarajia kugombea Urais kwa ku upgrade CV yake kwenye hili bunge, sorry namhurumia, amejimaliza arudi Urambo akalale!!
 
Kumbukeni jamani tunaandika katiba hapa, haraka ya nn? Maana hata wakipewa muda humo ndani hakuna wanachoongea zaidi ya kuoneshana ubabe tuu, mwingine nae hata hajui kafata nn hapo baada ya kuteuliwa kajitoa kisa wajumbe wengi wa ccm amesahau hata chama chake cha cuf pamoja na kuwa na nguvu zanzibar hawakupewa nafasi ya waziri kivuri na cdm kwenye bunge la jamhuri. Cjwahi kuona upinzani dhiafu katika nchi hii ambapo mbinu wanayotumia kila cku ni nguvu badala ya hoja. katika siasa hoja yeyote hupita baada ya kuungwa mkono na wengi leo iweje wahoji uhalali wa ccm kuwa wengi.
Tarizo ni kwamba, wanasiasa wameuteka mchakato wa katiba mpya
 
katiba bora yenye kuzingatia maoni ya wananchi wengi itapatikana lakini sio kwenye mchakato huu unaoendelea sasa
 
Lol huyu babu Sitta apumuzike huu mziki ni mzito kwake...eti babu wa viwango, viwango vya kuhairisha bunge kila siku? Bora Lowassa achukue usukani... Kibabu hiki nilikidharau tangu wakati wa CCJ,kinafiki hakuna mfano.
 
mpaka sasa naendelea kutafkari kwa nini Tundu lisu au Pro. Safari hawakugombea na wamemwacha huyu mnafiki. Kinachoendelea sasa hakitaki hata division 5 kujua kuwa bunge malum la katiba linaongozwa na ikulu.
hii nchi inaelekea kubaya.
 
Lol huyu babu Sitta apumuzike huu mziki ni mzito kwake...eti babu wa viwango, viwango vya kuhairisha bunge kila siku? Bora Lowassa achukue usukani... Kibabu hiki nilikidharau tangu wakati wa CCJ,kinafiki hakuna mfano.
Wala sio kibabu ni kiajuza kanafikiria kujenga ofisi ya mwenyekiti wa bunge la katiba huko urambo kama alivyojenga ofisi ya spika haka kaajuza kanafiki sana kama ajuza FaizaFoxy
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom