Yanayojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa, January 30

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa, January 30

Mkuu, soma tena jina lake. Amebadili jina. Anaitwa MUSSA ALLAN na si MSALANI

umeombwa utoe msaada?? Mbona unakiherehere hivyo?? Hata kama ndio tabia mlizo fuzwa na ccm lakini mnatia aibu.
 
Wabunge wanaendelea kuchangia taarifa za Kamati za Hesabu za Serikali PAC na LAAC zinazoonesha ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma

Lema: Haiwezekani kila siku tukija humu tunazungumzia wizi tu, inatakiwa tuzungumzie mipango ya maendeleo ya wananchi sio kila siku wizi wizi wizi unaosababishwa na CCM.

Lema: Kama ningeweza kupendekeza pia kwenye Amri Kumi za Mungu, ningependekeza iongezwe amri ya 11 inayosema 'USIWE CCM'

Lema: Katika mazingira kama haya, nathubutu kusema 'My Country is like a Getho' mambo hayaendeshwi kwa utaratibu kabisa


Lissu: "Kinachotufikisha hapa ni Rais kushindwa kutimiza wajibu wake wa kikatiba wa kuwawajibisha watendaji wake"

Lissu: "Tunachotakiwa kufanya hapa ni kuanza na hawa mawaziri tulionao humu ndani, tukubaliane kuwawajibisha"



10955700_1139530139394736_2822300066879329353_n.jpg
 
Ccm ni jehanamu ya duniani! Huku wanapanga wizi, ufisadi, mauaji, rushwa, na kumtukuza shetani!
 
Hivi kwa nini kila anapochangia Lema anainama na kushikilia meza? Halafu haangalii mtu yeyote? Anaona aibu gani? Na kuinama kwake kunamkumbusha nini?

Mtoto Si Riski,umesahau Aliwahi Kumbania Saut Lusinde,we Unafkili Alikua Anataka Nini?
 
Hata mimi ilibidi nicheke hasa kwa Amri hiyo ya 11 Usiwe CCM!!!!!harafu nimeshangaa sana kumbe TUNDU LISSU ni SHEIKHE nimemwona akiingia leo kwenye msikiti hapa DODOMA mchana huu.
 
Hiyo amri nimeishika nitaiongeza tu kwenye amri zangu
 
Wabunge wanaendelea kuchangia taarifa za Kamati za Hesabu za Serikali PAC na LAAC zinazoonesha ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma

Lema: Haiwezekani kila siku tukija humu tunazungumzia wizi tu, inatakiwa tuzungumzie mipango ya maendeleo ya wananchi sio kila siku wizi wizi wizi unaosababishwa na CCM.

Lema: Kama ningeweza kupendekeza pia kwenye Amri Kumi za Mungu, ningependekeza iongezwe amri ya 11 inayosema 'USIWE CCM'

Lema: Katika mazingira kama haya, nathubutu kusema 'My Country is like a Getho' mambo hayaendeshwi kwa utaratibu kabisa


Lissu: "Kinachotufikisha hapa ni Rais kushindwa kutimiza wajibu wake wa kikatiba wa kuwawajibisha watendaji wake"

Lissu: "Tunachotakiwa kufanya hapa ni kuanza na hawa mawaziri tulionao humu ndani, tukubaliane kuwawajibisha"



10955700_1139530139394736_2822300066879329353_n.jpg

Nakubaliana na wewe haya mambo ya kujadili wizi badala ya maendeleo kunarudisha sana nyuma maendeleo. Wanavyofanya ni sawa na kuhamasisha watendaji serikalini na kwenye Halmashauri nao wafuate nyao za wakubwa wao kwa kufisadi zaidi.
 
Hivi kwa nini kila anapochangia Lema anainama na kushikilia meza? Halafu haangalii mtu yeyote? Anaona aibu gani? Na kuinama kwake kunamkumbusha nini?

.... Ulitaka Akuangalie Wewe Ili Umurebulie Macho
 
Tangu Lema aanze kuchangia sijawahi kumuona wala kusikia mahala lema amechangia kitu cha maana hata siku moja.


Kwahiyo suala la VIP lounge kujengwa kwa bil 12 badala ya 3bn kwako unaona si ajabu?


Hivi hujionei Huruma hata wewe unaeteseka kwa umasikini kiasi cha kwenda kununua kiwanja kule mailimoja mnakomwagiwa vinyesi wakati Wa mvua?

Akili gani hii ya kukanyagwa na kiatu halafu unampigia vigele gele anayekukanyaga?
 
Ninachomkubali Lema, huwa hauzunguki ukweli, akismama tu maccm Dogo zinatetemeka
 
Huyu ana stress za kuukosa ubunge october 2015.

Asamehewe tu.
Time will tell - Natumaini hayo matokeo yakishawekwa mezani utabadlisha na hiyo Avatar kama ulivyobadilisha Jina! Msalimie MSALANI!
 
Hizo dakika za LEMA kuchangia hapo bungeni zimepotea bure, hakuna cha maana alichoongea zaidi ya mipasho na data za kupikwa! Arusha hatuna Mbunge tunasubiri october.

Umesema ww na umeandika ww na hiyo yote ni kwa kuwa unampenda sana mbunge wa sikonge unampenda sana
 
"Kama Mungu angeongeza amri katika amri zake, amri ya kumi na moja ingekuwa USIWE CCM" ...Godbless Lema (MB)
 
Back
Top Bottom