MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,280
Hizo dakika za LEMA kuchangia hapo bungeni zimepotea bure, hakuna cha maana alichoongea zaidi ya mipasho na data za kupikwa! Arusha hatuna Mbunge tunasubiri october.
Hilo MUSSA ALLAN ni jina la kuchonga, jina lake 'origimal' ni MSALANI aka chooniMkuu, soma tena jina lake. Amebadili jina. Anaitwa MUSSA ALLAN na si MSALANI
Kama mungu ni mshirika wa mzee mtei hapo sawa kwanza lema mwenyewe ni mharifu namba moja halafu anataja jina lamungu la nini haoni aibu yeye mwenzake ni shetani.
Huyu ana stress za kuukosa ubunge october 2015.
Asamehewe tu.
Kilishakufa sasa kuna UKAWA.Ninavyojua mtabiri maarufu sheikh yahaya ameshafariki kumbe alikuachia mikoba ya utabiri,hongera vipi hiki kijichama kinaitwa chadema hakijafa tu kama mlivyotabiri?
MSALANI ,LIZABONI .FAIZA FOXY,SIMIYU YETU... hawa ni janga humu JF kiuhalisia hawakustahili kabisa kushiriki thread iwayo yote humu ndani. hawa alishaacha kutumia bongo zao. sasa wanatumia makalio na tumbo kufikiria. na ndo maana wenye akili wamewalisha maneno nao wanakuja jf kukariri kma kasuku. hawajawah kuwa na akili hawa watu. huwa wanaongea vitu vya wash room kabisa. ni msalani msalani kweli.
Hivi kwa nini kila anapochangia Lema anainama na kushikilia meza? Halafu haangalii mtu yeyote? Anaona aibu gani? Na kuinama kwake kunamkumbusha nini?
Na wakati anaongea upuuzi kama huu, misukule mnashangilia?
Huwa umewahi kujiuliza baba yako mzazi anavyo jamba jamba kunasababishwa na nini? Fanya utafitiHivi kwa nini kila anapochangia Lema anainama na kushikilia meza? Halafu haangalii mtu yeyote? Anaona aibu gani? Na kuinama kwake kunamkumbusha nini?
Lema anavuta bangi kuwazidi Ridhiwani Kikwete na William Malecela?Lema ametia aibu sana naona bange aliyovuta leo hakutoa mbegu, Wana Arusha tunasubiri Machinga Comlex na Hospitali ya mama na mtoto, yeye anazungumzia habari za aunty ezekiel na getto Lema aage kabisa bungeni harudi tena.
Mkuu unamjua mtu anayeongoza kwa wizi wa magari pale arusha tafuta majibu ukipata hutampongeza tena Lema.
Sure mkuu ujue huyu mtu alianza kuvuta akiwa mdogo sana kwahiyo kichwa chote kilishachafuka na bangi.
Hakika. Wana Arusha wamechoka kuongozwa na jambazi