Yanayojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa, January 30

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa, January 30

Tangu Lema aanze kuchangia sijawahi kumuona wala kusikia mahala lema amechangia kitu cha maana hata siku moja.
 
Pengine wanafikiri kuwa face book na twiter zitawasaidia kuuza sura mungu atuepushe huko tunakokwenda wenda tukaogozwa na miss au modo
 
Jambazi mamayako............... mbona usiwaseme wezi wanaokwapua fedha zetu bila huruma?

Kikwete ameiharibu nchi hii imekuwa kama Gheto!
Familia yenu ndiyo geto make hakuna mkubwa wala mdogo kulala wote sehemu moja kama watoto wa mbuzi.
 
Upinzani ni chachu kubwa kwa maendeleo ya Tanzania ukitaka kujua hoja zao nyingi bungeni zinamashiko
 
lema kasema Mungu akisema aongeze amri nyingine katika zile amri zake kumi
_amri ya 11 itakuwa usiwe mwana ccm
Kama mungu ni mshirika wa mzee mtei hapo sawa kwanza lema mwenyewe ni mharifu namba moja halafu anataja jina lamungu la nini haoni aibu yeye mwenzake ni shetani.
 
Akichangia bungeni leo Mh lema ameifananisha Tanzania na gheto ( nyumba ya wasela ) , maana haina utaratibu wowote katika uendeshaji wake , ameuliza ni lini bunge litaacha kujadili wizi ili lijikite kwenye majadiliano ya kujenga nchi , kiukweli Mh Lema amenihuzunisha sana baada ya kufichua kwamba kiwanda cha GENERAL TYRE kimekwama kufufuliwa baada ya serikali kukosa hela ya Tanzania ( waweza sema hela ya madafu ) kiasi cha mil 20 tu ! Leo Mh Lema ameongea kikamanda sana ! Hongereni wana ARUSHA hamkufanya makosa kumchagua
 
Lema amekulia geto baada ya kutelekezwa na wazazi wake kwahiyo anadhani kila kitu ni sawa na geto alilokulia.
 
hiv ili LICHICHI watu wana muda wa kujadili upuuzi wake,tatizo lake anaanza kuvuta kabla ya kuchangia.
 
Akichangia bungeni leo Mh lema ameifananisha Tanzania na gheto ( nyumba ya wasela ) , maana haina utaratibu wowote katika uendeshaji wake , ameuliza ni lini bunge litaacha kujadili wizi ili lijikite kwenye majadiliano ya kujenga nchi , kiukweli Mh Lema amenihuzunisha sana baada ya kufichua kwamba kiwanda cha GENERAL TYRE kimekwama kufufuliwa baada ya serikali kukosa hela ya Tanzania ( waweza sema hela ya madafu ) kiasi cha mil 20 tu ! Leo Mh Lema ameongea kikamanda sana ! Hongereni wana ARUSHA hamkufanya makosa kumchagua
Mkuu unamjua mtu anayeongoza kwa wizi wa magari pale arusha tafuta majibu ukipata hutampongeza tena Lema.
 
Lema amekulia geto baada ya kutelekezwa na wazazi wake kwahiyo anadhani kila kitu ni sawa na geto alilokulia.
Pia amemlaumu waziri wa utalii kwenda nje ya nchi kutangaza utalii huku akiambatana na Aunt Ezekiel , bado sijaelewa kwenye hili Mh Lema alilenga nini , maana utalii lazima utangazwe .
 
Hivi kwa nini kila anapochangia Lema anainama na kushikilia meza? Halafu haangalii mtu yeyote? Anaona aibu gani? Na kuinama kwake kunamkumbusha nini?

Tukuulize wewe Mamaa Lisinde
 
Tangu Lema aanze kuchangia sijawahi kumuona wala kusikia mahala lema amechangia kitu cha maana hata siku moja.

Cha maana zaidi zaidi ya kuulalamikia wizi unaoongezeka ktk kila sekta ni kipi? Nani asiyejua nafasi ya CCM katika ukwapuaji WA mapesa ya kodi za Wtz? Huoni ni mzaha WA maana Lema kuwazia amri ya 11? Kwingine mawazo yetu no mwaka huu octoba.
 
Lema nuksi sana mchalo mtamu ningekuozesha kwa mh kama angekua bado hajaoa
 
Last edited by a moderator:
Akichangia leo bungeni mhe. Lema amesema kama Mungu angekuwa anaandika amri zake leo. Basi angeweka amri mpya ya 11 inayosema" USIWE CCM"
 
Kama mungu ni mshirika wa mzee mtei hapo sawa kwanza lema mwenyewe ni mharifu namba moja halafu anataja jina lamungu la nini haoni aibu yeye mwenzake ni shetani.

Kama mungu akiongeza amri ya kumi na moja amri hiyo itasema usiwe ccm
 
Back
Top Bottom