Viongozi wote wa Siasa wa UKAWA, hakuna asiekuwa na makovu, Wananchi wameuawa, Mwangosi et wameuawa na Jeshi la Police! Jeshi limeshikwa na Fascist elements ... Waziri Mkuu alisema wananchi wapigwe tu ... Number za Magari ya Police (PT) PIGA TU!!! ... Anamtaka Chikawe awajibishwe, Pinda awajibishwe ...