Yanayojiri baada ya MNYIKA (MB) kufika Polisi Singida!

Yani maneno yako tu yanaonesha maneno yako!
Unatamani chadema kifutwe maana operesheni imekushika hadi ukaona uwatume watu warushe mawe!
Inaelekea hutimizi wajibu wako kama mbunge kwa wanasingida!

Hiyo laana ya mauaji haitakuacha!
WEEE CHEZEA INGINE USICHEZEE NCHEMBA YEYE INAPIGA MAJIWE TU. DAWA YA HOJA NZITO KIZUIZI CHAKE MAWE! JAMANI BWEPANDE LINASHINDWA KUSIMAMA ALONE LINATAKA KUZIMA HOJA KWA MIJIWE. TAKE CARE CDMs
 
Kwa hiyo tuliamua Hivyo?... dah mbona walokamatwa ni wanaChadema hii sio Good strategy kuua nyie mkasema ni viongozi wa Chadema ambao kwanza walikuwa jukwaani. Hakuna polisi wala shahidi hata mtu mmoja anaweza kumweka kiongozi wa Chadema mahala pa mauaji lakini amekamatwa kama yule kichaa wetu wa Ulimboka!..

Wewe nawe acha kujifanya huna akili, ingekuwa una present difense ungesema hawakushuka kwenye jukwaa kwa hyo hawakuuwa?
 
Haya yote yanayotokea hapa yalishafanyika sana na KANU huko Kenya kwa miaka mingi lakini miwshowe KANU ilipotea kama majivu,leo wengine hawajifunzi.Msitu wa Ngong Kenya ulikuwa kama Mabwepande ya Dar vile
 
CCM wanasema Chadema ni wacheza disco, Mandela anavyojulikana sasa hivi siri ni kwamba hapo awali alikuwa mwana asumbwi (boxer).
 
Haya yote yanayotokea hapa yalishafanyika sana na KANU huko Kenya kwa miaka mingi lakini miwshowe KANU ilipotea kama majivu,leo wengine hawajifunzi.Msitu wa Ngong Kenya ulikuwa kama Mabwepande ya Dar vile

aiseeeh!
 
Kwa hiyo wamekuita uache shughuli za bunge ili wakakuhoji?

Hawa polis vp jamani?.

police wakiona cdm wanachanganyikiwa kama mwanamke mwenye mimba unashangaa hilo hukumbuki walimsafirisha mbowe kwa ndege ya jeshi kwenda arusha kumhoji tu walitumia m 60
 
Updates: "Nimewapa maelezo timu ya Dar Es Salaam na RPC kuhusu ukweli wa kilichotokea kama ambavyo ulitolewa kwenye taarifa rasmi ya chama iliyotolewa kwa vyombo vya habari. Baada ya mahojiano, nimetakiwa kuandika maelezo. Nimehoji/Nimeuliza naandika kama mtuhumiwa au shahidi? Wamesema naandika tu kama mtu niliyekuwapo kwenye mkutano. Naingia sasa kuandika, hata hivyo kwenye mahojiano imeonekana kulikuwa na mazingira ya kubambikiziwa kesi"- John John Mnyika, Mbunge wa Jimbo la Ubungo 18 Julai, 2012

Chanzo: Facebook post ya John John Mnyika
 
Uzoefu unaonesha kuwa mara zote mikutano ya chadema huwa na amani na usalama,ila tatizo hutokea wanapoingiliwa na polisi au vikundi vingine.mfano tumeuona Arusha,ndago nk.kuna mbunge amezungumza leo asubuhi kwamba ccm wasipojirekebisha watakuja kuiingiza nchi ktk mauaji makubwa kwa upumbavu wa watu wasiojiheshimu kama mwigulu.Hivi hakuna wazee wenye busara ktk chama kukemea unyama huu.mko wapi kina warioba,Salim,Butiku,Mangula,Sumayi.Hivi hamuoni nchi inapoelekea? Mmewaacha hawa vijana wakiangamize chama na taifa kwa ujumla.uhasama na visasi wa vijana hawa umefika pabaya sasa nina wasiwasi huenda sasa na ikulu inahusika.kuna haja gani kuleta askari kutoka makao makuu,waliopo singida hawafai au ndio visasi?.mbunge mmoja aliyejeruhiwa kwa mapanga,leo ameeleza bungeni kuwa hajawahi kuitwa polisi kuhojiwa juu ya mkasa huo kweli inasikitisha.kuna minong'ono hapa mwanza kuwa kama mbunge wa nyamagana angekuwa mmoja wa waliojeruhiwa na mapanga,hakika mwanza yote ingezizima na huo moto hakuna ambaye angeweza kuuzima.
 
Kweli, swali la pili kama halijakaa sawa hivi na halina majibu.



Mahojiano ya kawaida kati ya Dr. Ulimboka na mtu wa ikulu yamemfikisha pabaya, ni muhimu achukue tahadhari kwani sasahivi polisi wa singida hasa rpc haaminiki tena.
Mkuu kuna polisi wa kutoka Dar wameenda huko Mnyika awe makini wasije kumfanyia mambo waliyo mfanyia Dr. Ulimboka...Kulikuwa na thread hapa ikisema Mnyika hawezi kushinda na kikwete sasa naanza kuona mpambano kati ya Mnyika na Kikwete, hii ni baada ya kumwita dhaifu....kikwete ni mtu wa visasi sana....
 
Ohoooo, sasa mbunge wangu!
Mkuu kuna polisi wa kutoka Dar wameenda huko Mnyika awe makini wasije kumfanyia mambo waliyo mfanyia Dr. Ulimboka...Kulikuwa na thread hapa ikisema Mnyika hawezi kushinda na kikwete sasa naanza kuona mpambano kati ya Mnyika na Kikwete, hii ni baada ya kumwita dhaifu....kikwete ni mtu wa visasi sana....
 
"Updates: Nimewapa maelezo timu ya Dar Es Salaam na RPC kuhusu ukweli wa kilichotokea kama ambavyo ulitolewa kwenye taarifa rasmi ya chama iliyotolewa kwa vyombo vya habari. Baada ya mahojiano, nimetakiwa kuandika maelezo. Nimehoji/Nimeuliza naandika kama mtuhumiwa au shahidi? Wamesema naandika tu kama mtu niliyekuwapo kwenye mkutano. Naingia sasa kuandika, hata hivyo kwenye mahojiano imeonekana kulikuwa na mazingira ya kubambikiziwa kesi.
John John Mnyika,
Mbunge wa Jimbo la Ubungo
18 Julai, 2012"

Chanzo: Facebook post ya John MNYIKA
 
Back
Top Bottom