Yanayojiri baada ya MNYIKA (MB) kufika Polisi Singida!

Yanayojiri baada ya MNYIKA (MB) kufika Polisi Singida!

Watanzania Wengi Tunalifuatilia hili Swala kwa Umakini na hatutakuwa Tayari kwa Hujuma Zozote. Tulikesha Pamoja, Tukapmbana pamoja Mpaka kieleweke
 
There are currently 331 users browsing this thread. (87 members and 244 guests)

Naona Macho yamewatoka kwa Jinsi Watanzania Wengi bila Kujali Itikadi zao wanavyfatilia Hili Sakata
 
Katibu wa CDM ndago na wauaji wenzake 11

kweli mwingulu nime kukubali wewe jiko la laana yani unashindwa kusema na vijana wako wamekamatwa!

Angalia unavyoteseka kujisafisha!
Wewe kila unapo kanyaga watu lazima wafe!

Lakini nakusifu kwa ujasiri wako wakuendelea kukana kuhusika na kutunga sms eti umetishiwa kifo!
 
Walinitaka nitoe maelezo kuhusu njama za baadhi ya wanausalama kuniua.Nimekataa! Kwa kuwa si sehemu ya ombi lao kwa Katibu wa bunge kunitaka nije Singida. Na hivi sasa,
umeme umekatika hapa Kituo cha Polisi


John John MNYIKA,
Mbunge wa Jimbo la Ubungo (CHADEMA),
18 Julai, 2012

Nashauri Watu waongeze Umakini hapo. Umeme Kukatika Mnnyika akihojiwa
 
kweli mwingulu nime kukubali wewe jiko la laana yani unashindwa kusema na vijana wako wamekamatwa!

Angalia unavyoteseka kujisafisha!
Wewe kila unapo kanyaga watu lazima wafe!

Lakini nakusifu kwa ujasiri wako wakuendelea kukana kuhusika na kutunga sms eti umetishiwa kifo!

Wewe upo kwenye keyboard wauaji wenzako wanaozea lupango, and this time sheria itende haki kwa hawa makatili.
 
mnyika haogopi mtu.. Ukweli na haki vitasimama daima.. Mnyika songa mbele but take care!
 
Kwa kweli CCM wanaishia pabaya. Wanafanya mambo bila kufikiria impact. Ufinyu wa mawazo ndio unaowasumbua. Udhaifu wa CCM na serikali waliyounda ndio unasumbua kwa sasa. Udhaifu ndugu zangu!!!
 
mnyika haogopi mtu.. Ukweli na haki vitasimama daima.. Mnyika songa mbele but take care!

Itakuwa anauzoefu mkubwa na matokeo ya kutisha kama kuondoa uhai wa binadamu kwa mawe.
 
Kwa nini anayehoji atoke Dar? pengine ndo aliyebeba sumu nini ili kutimiza mpango wao wa kummaliza Mnyika au inakuwaje hapa mbona haijakaa vizuri? na kwa nini ahojiwe Mnyika ikiwa hahusiki kabisa?
 
Nchi inatawalika tena vizuri sana, na wahalifu wanashughulikiwa ipasavyo.
mbona wahalifu wanaotuhumiwa kuwateka na kuwajeruhi wabunge wa mwanza hawajaguswa na miongoni mwao wamo bungeni.au wahalifu wako upande mmoja tu.mbona igunga aliuwawa kada wa chadema na hatukuona wahalifu wakikamatwa matokeo yake wabunge wa chadema kukamatwa kama wahalifu baada ya kumkamata mkuu wa wilaya akifanya uhalifu
 
Kuna mtu/watu ameambatana nao kwenda huko Singida kwenye 'mahojiano ya kawaida'? Kwa polisi wetu walipofika na viwango vya ujinga wanavyoonyesha tunaweza kuambiwa John ameanguka na kukata roho akiwa kwenye benchi akisubiri kuhojiwa. CDM chukueni tahadhari sana. Polisi na vyombo vya dola vya CCM sasa ni GESTAPO kama ile ya Adolf Hitler.

Akianguka litakuwa tangazo rasmi la vita!!
 
CCM wakati wenu umekwisha hata mfanye nini wananchi wameshawachoka, itakuwa km Syria, leo waziri wa ulinzi kauwawa kwenye shambulio la kujitoa mhanga, ikishafika huko nchi haitatawalika tena, CCM mnatujengea chuki na POLISICCM, tafadhari kuweni wa kweli plse!!
 
Lo jambo la kushangaza sana magreti thinkaz!
Baada ya hapo akapata tumbo la kuhara kituoni.
 
Naanza kuingiwa hofu/shaka mahojiano gani haya ya usiku?au mtu mmoja aseme Mnyika kashatoka
 
Back
Top Bottom