MVENGEVENGE
Senior Member
- Sep 15, 2011
- 158
- 37
mbona nyumba zako unazo nunua ubungo hauweki fesbk?
we uko wapi angalia wanaume wanaongea nini.
mbona nyumba zako unazo nunua ubungo hauweki fesbk?
Lo jambo la kushangaza sana magreti thinkaz!
Baada ya hapo akapata tumbo la kuhara kituoni.
Itakuwa anauzoefu mkubwa na matokeo ya kutisha kama kuondoa uhai wa binadamu kwa mawe.
Kuua aue Mwigulu halafu polisi wa ccm wanamkamata Mnyika!! Hii dhuluma ndio itakayoipelekea nchi hii kutotawalika; ccm acheni siasa za majitaka!![/QUOTE\]
Hivi kweli siasa zimekuwa ukatili kiasi hiki? Mwigulu anaweza kuamua kumuua kijana wa watu mwana ccm mwenzake tena mradi tu apate kesi nzuri dhidi ya Chadema!! Ama kweli watu wengine wana roho za wanyama.
Hata sasa hivi watu wanasubiri ignition tu, akitokea mtu wakuwatoa huo uoga basi ujue kunalipuka mara moja!!Kwa Tanzania bado sana.... Watu waoga sanaaa.
Mbona issue ya Madokta na Ulimboka hata maandamano hakuna?
Taarifa nilizozipata sasa zinaeleza kuwa kumekuwa na katikakatika ya umeme hapo Polisi Singida hivyo sasa mahijiano yanafanyika Gizani.
Mahojiano tu ya kawaida, wala asiwe na shaka.
Mungu yupi atakayesimama na wauaji?
"Nimesema wazi kuwa kabla ya mkutano nilipewa taarifa kuwa kuna kikundi cha vijana wa CCM kimepangwa kuvuruga mkutano, hata baada ya kuwaambia polisi wahakikishe ulinzi, polisi waliachia vijana hao warushe mawe wakati waitara akiongea. Baadae kukawa na utulivu na mkutano ukaendelea salama, nikahutubia na kumaliza salama polisi na FFU wakiwemo. Tukaenda kwenye mkutano wa pili ulioanza na kumalizika salama. Taarifa za mauaji tulizipata usiku baada ya kurejea Singida Mjini na zilitolewa na RPC. Hivyo mkutano wa CHADEMA uliomalizika kwa amani. Nimewaambia sikutoa lugha yoyote ya matusi wala uchochezi bali nilieneza sera na wananchi wakataka turudi tena na tukawaahidi kuwa tulinakwenda kwenye maandalizi ya Oparesheni sangara ya Singida nzima. Nimewaambia tuna tuna ushahidi wa video na tutautoa Mahakamani
Mh!! Mpaka hapo nina wasiwasi sana wasije wakampoison kamanda wetu.