Katika nchi za magharibi, ikiwa kutatokea kifo cha mtu yeyote wakati Polisi ndio wameshughulika na Ulinzi ktk mkutano halali ulopewa kibali basi kesi hufunguliwa kiongozi aliyekabidhiwa mamlaka ya kulinda maana mauaji yametokea chini ya ulinzi wake, lakini nashangaa sana kuona kwetu Tanzania wanakamatwa watu ambao walitakiwa kupewa ulinzi na wanajua wazi kwamba sii wao walioshiriki ktk mauaji..
Ikiwa Chadema waliufanya mkutano huu kinyume cha sheria, wakalazimisha mkutano kwa ulinzi wao dhidi ya matakwa ya sheria hapo ndipo tunaweza kuwalaumu lakini maadam walipewa ulinzi na bado mtu kauawa basi Polisi ndio wanatakiwa kujibu mashtaka haya.
Ikiwa Chadema waliufanya mkutano huu kinyume cha sheria, wakalazimisha mkutano kwa ulinzi wao dhidi ya matakwa ya sheria hapo ndipo tunaweza kuwalaumu lakini maadam walipewa ulinzi na bado mtu kauawa basi Polisi ndio wanatakiwa kujibu mashtaka haya.