ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,653
nimefika leaders mda sio mrefu, yaani hapa napiga tathmini hili jukwaa ni bei gani, maana limeenda shule kinomanoma! Dah!
umefika leaders au ustawi, we nawe sasa umeshaanza kupoteza network!
nimefika leaders mda sio mrefu, yaani hapa napiga tathmini hili jukwaa ni bei gani, maana limeenda shule kinomanoma! Dah!
nimefika leaders mda sio mrefu, yaani hapa napiga tathmini hili jukwaa ni bei gani, maana limeenda shule kinomanoma! Dah!
jamani mods sijui wamehongwa, si wameondoa icon za likes, huenda nao wana maslahi kwa DMX!
Mkuu hakuna Nature hapa, huyu Mwita25 mzinguaji .....mbwa nadhani!
umefika leaders au ustawi, we nawe sasa umeshaanza kupoteza network!
huwezi kudanganya umma wa watz halafu ubaki salama milele, katu haiwezekani. Na badi tutampelekea DMX habari kuwa wamellitumia jina lake ktk biashara, then watajua kilichomtoa kanga manyoya ya shingo!
Huyo kanywa Chimpumu.
Kuna pombe flani inatengenezwa kwa mayai viza inaitwa 'samtata' na sifa ya hii pombe mnywaji asubuhi sana lazima akaharishe mapovu kama kanywa sabuni ya unga.
nilikimbia hesabu sijakuelewa.
Mkuu kwa stili hii unakaribia kuitwa "kiriusi". Zinatakiwa update za Ustawi wa Jamii juu ya Mh.Mbilinyi a.k.a SUGU na show yake ya Antivirus hasa hili ndilo lengo la eng.Mtolera.huku barcelona 0 getafe 1