ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,653
wakuu mbona tnafanyiana ukatili mbaya kiasi hicho. tumewakosea nini mpaka mmefikia hapo mmeamua kufaidi peke yenu ili hali mnajua kuna wengine tunawategemea ninyi kujua kinachoendelea ustawi wa jamii!!!!!!!!! Acheni hizo, leteni updates tafadhali nasi tuwe na usiku wa amani!