Yanayo Jiri ustawi wa jamii live

Yanayo Jiri ustawi wa jamii live

Clouds fm wanarusha live kutoka leaders, gangwe mob ndo wanaimba ila wanakatisha nyimbo coz watu wamepoa na wanagoma kuitikia wanapoambiwa say yooo!
watangazaji wa clouds wanawahoji mashabiki waliokuja leaders na kumuuliza kila wanaomuhoji kuwa amekuja kwa ajili ya kuona show ya nani? kuna jamaa kaulizwa kaja kwa ajili ya msanii gani kajibu DMX, watangazaji wamemuambia kuwa DMX haji tena so aseme msanii wa bongo atayependa kumuona badala ya DMX kasema anamtaka DMX tuu, wamekatisha kumuhoji gafla.
Mshabiki mwingine wa hapo leaders club anaulizwa kaja kwa ajili ya msanii gani, kajibu amekuja kwa ajili ya DMX, watangazaji wanaomuhoji wamepotezea mahojiano juu kwa juu.

Dah Afande sele ni **** kuliko binadamu yeyote aliye hai apa dunia kwasasa
 
Hapa Leaders watu wamekasirika sana, naona wengi wanatoka na kuelekea ustawi, ushirikiano kati ya performers na audinces hakuna kabisa, yaani watu kama wamesusa flani hivi, mi mwenyewe najikataa mda huu, naelekea ustawi, bora nilipie shoo mbili kwa moja!
 
Dada yangu Regia, swali dogo tu. Madhumuni ya kusoma hicho kitabu ukiwa bungeni ulikuwa na dhamira ya kutoa quotes ndani ya hicho kitabu kwa shughuli za kibunge au ulikuwa unasoma tu kwa sababu kilikuvutia. Najaribu tu kupata uelewa, ni vipi ukisome bungeni wakati unatakiwa kuwa bize na shughuli zilizokupeleka ndani ya mjengo. Hicho kitabu kilikuwa na mchango gani kwenye miswada ilyosomwa kwenye session iliyopita?

I'm not trying to pick on you but am trying to comprehend what's going on in mjengoni.

mwehu wewe, acha watu tuendelee kupata ma updates usituletee upumbavu wako wa kurithishwa hapa. pusi mkubwaaa!
 
wakuu huyu mkoloni ni noumer.kawasindikiza mapacha.namuona dan msimamo anaruka ruka kwa furaha...wanauliza mumekaa mkao gani..tumekaa mkao wa kula si mnaona hiz sura?bila shaka umeupata huu wimbo.piga kelele kwa ant-virus. sasa anaingia dan msimamo na wimbo wa siku nzuri inavyokwenda. wakuu chrg itakata si unajua leo hapa kinyama tumeshinda bila umeme? habari ndo hiyo. masela wamefurahi kinoma. ukiona kimya ujue ndo hivyo. mia

acha utani huo, wewe ndugu! tafuta nyaya weka kwenye septic tank charge isiishe, walahi, huwezi kutuonjesha utamu then unadai charge imeisha. Ushawahi pata mshipa wa kike weye! katafute charge aisee, antvirus wengi tuwaondoe!
 
acha utani huo, wewe ndugu! tafuta nyaya weka kwenye septic tank charge isiishe, walahi, huwezi kutuonjesha utamu then unadai charge imeisha. Ushawahi pata mshipa wa kike weye! katafute charge aisee, antvirus wengi tuwaondoe!

fanya hivyo tupate uhondo wa ustawi
 
382793_10150437961598620_818678619_8458022_1769865313_n.jpg

Kamata zako tano kamanda. Kuna kila dalili ya mimi kurudi tena dar, uhondo kama huu ntasimulia nini kwa mungu nkifa mieeeeeeeeee!
 
Hii iko kisiasa zaidi, na JF ipo biased. Chadema kwa Sugu, CCM kwa Ruge.
 
Back
Top Bottom