Yanayo Jiri ustawi wa jamii live

Yanayo Jiri ustawi wa jamii live

endapo DMX hakuja, si wananchi wenye tiketi wana haki ya kudai kurudishiwa pesa zao??

Huo sio wizi kweli wa mchana kweupe??
 
nikisema magenge wewe sema mwenge. magenge..??ushindwe na ulegee wewe virus. wakuu nilitaman tuendelee wote lakini chrg imeisha tanesco sio. sasa hivi kapanda nuru heri. baba umetutoka tunakukumbuka. ushamsoma? mia

Nuruely na Rama D nawafananishaga na marehem Nate Dog, wanaimba r&b ila wao ni hiphop hata tungo zao na Rama D anaimba r&b yenyewe, Navikubali vchwa hvyo.
 
Dada yangu Regia, swali dogo tu. Madhumuni ya kusoma hicho kitabu ukiwa bungeni ulikuwa na dhamira ya kutoa quotes ndani ya hicho kitabu kwa shughuli za kibunge au ulikuwa unasoma tu kwa sababu kilikuvutia. Najaribu tu kupata uelewa, ni vipi ukisome bungeni wakati unatakiwa kuwa bize na shughuli zilizokupeleka ndani ya mjengo. Hicho kitabu kilikuwa na mchango gani kwenye miswada ilyosomwa kwenye session iliyopita?

I'm not trying to pick on you but am trying to comprehend what's going on in mjengoni.

Jaribu kuhangaisha akili yako na kuwa Mchambuzi kidogo. Kuwa Bungeni haimaanishi 'UKUMBI WA BUNGE TU'
 
Dada yangu Regia, swali dogo tu. Madhumuni ya kusoma hicho kitabu ukiwa bungeni ulikuwa na dhamira ya kutoa quotes ndani ya hicho kitabu kwa shughuli za kibunge au ulikuwa unasoma tu kwa sababu kilikuvutia. Najaribu tu kupata uelewa, ni vipi ukisome bungeni wakati unatakiwa kuwa bize na shughuli zilizokupeleka ndani ya mjengo. Hicho kitabu kilikuwa na mchango gani kwenye miswada ilyosomwa kwenye session iliyopita?

I'm not trying to pick on you but am trying to comprehend what's going on in mjengoni.

View attachment 42189
Nenda kanawe umefanya hayo hapo juu na umechafua hali ya hewa hapa JF lol!!!!
Mkuu una matatizo sana..kumbe wabunge wakiwa bungeni hawapaswi kusoma kitu kingine chochote zaidi ya miswada lol!!


 
Mi simo katika hili, kwani virusi wapo wengi sana. mimi wewe pia ni virusi. fungua simu yako ya mchina, tafuta folder la my music, au received. kuna nyimbo unazo kwenye simu yako. umezipata kwa idhini ya nani? msanii aliyezipiga umemlipa sh. ngapi? kwenye copyright hakutahadharisha? wacheni unafiki
 
Sugu na vinega kafunika ile mbaya na huu ni mwanzo tu.....tuwape support vinega
 
Mbona unanitukana mkuu?? Nilikuwa namuuliza Mwita25 nashangaa unanishambulia.

yaishe jamani,ni lugha gongana hamkuelewana,ni kama mnajenga nyumba moja wote hamfahamu lakini mnagombania matofari
 
endapo DMX hakuja, si wananchi wenye tiketi wana haki ya kudai kurudishiwa pesa zao??

Huo sio wizi kweli wa mchana kweupe??
Mkuu ni wizi mkubwa tena wa wazi wazi wananchi sasa waelewe sio wapelekwe pelekwe.....its better wapenda muziki wafahamu wazi wazi.....alafu na wasanii wa kitz nao wagangamale na sio njaa ya laki 1 inawafanya wanakuwa watumwa....

Viva sugu na vinega....
 
Dada yangu Regia, swali dogo tu. Madhumuni ya kusoma hicho kitabu ukiwa bungeni ulikuwa na dhamira ya kutoa quotes ndani ya hicho kitabu kwa shughuli za kibunge au ulikuwa unasoma tu kwa sababu kilikuvutia. Najaribu tu kupata uelewa, ni vipi ukisome bungeni wakati unatakiwa kuwa bize na shughuli zilizokupeleka ndani ya mjengo. Hicho kitabu kilikuwa na mchango gani kwenye miswada ilyosomwa kwenye session iliyopita?

I'm not trying to pick on you but am trying to comprehend what's going on in mjengoni.
duh... mkuu wangu hapa uliteleza aisee, yani ina maana kama niko field basi 24/7 nifanye kazi za field tu? sina hata muda binafsi mazee??

aisee, bado tuna safari ndefu kutangamanisha preconceived ideas na realities
 
Mkuu ni wizi mkubwa tena wa wazi wazi wananchi sasa waelewe sio wapelekwe pelekwe.....its better wapenda muziki wafahamu wazi wazi.....alafu na wasanii wa kitz nao wagangamale na sio njaa ya laki 1 inawafanya wanakuwa watumwa....

Viva sugu na vinega....
sasa wapo wapi wale wanasheria wetu wanaotetea haki za vijana???
wanajisikiaje wasanii wa bongo waliokubali kuhusishwa na utapeli huu wa clouds media??


Mimi namuomba sana mwanasheria wa kweli mtetea vijana na mpenda maendeleo asaidie clouds wasirudie tena huu utapeli waliouzoea kwa kuwashitaki

ENOUGH IS ENOUGH... WIKI NZIMA WATU WANASHINDWA KUPATA HABARI NYETI KUTWA DMX, FABYULAS NA MIZIKI YAO MIBAYA ILIYOCHOKA

WAPUMBAVU NA WEZI WAKUBWA CLOUDS MEDIA AND I WISH MTU ANGEWASHITAKI,

SIWEZI KUWASHITAKI KWANI SIKUHUDHURIA NA NISINGEHUDHURIA UCHAFU ULE, MAANA DMX NI CONVICT, TO SAY THE LEAST
 
Kwa maneno mafupi tu ninachoweza kukisema, sijawahi kuhudhuria show ya kukata na shoka kama ile show ya jana ya Sugu, kweli kwenye vita ya haki ushindi ni lazima.
Watanzania naomba tuendelee na moyo huu wa kukienzi kilicho chetu. Nimefarijika sana na mwitikio wa Watanzania kweny show ile ya jana.
 
kwakweeeeeli ilikua hataaaaaaaarrre nitapenda ka watapiga show kama hii kuzunguka nchi nzima
 
Back
Top Bottom