Yametimia, ndege ya ATCL, Dash8-Q400 angani

Yametimia, ndege ya ATCL, Dash8-Q400 angani

Ije tu lakini sio tena kwa ile slogan tulo zoea ya any time cancellation..
Ije ishindane sawa sawa...ni ndege ya bure atc wamepewa na serikali hawajanunua kama shirika hivyo wasije wakaifanya kuwa jipu...
Maana hii ni ndege ya thamanikaribu billion 70 Na seat 70 kuzi rejesha itachukua miaka kadhaa....labda 40 bila ya kuharibika ...
 
Unajua aina ya ndege anayotumia MayWeather?...ndege aina ile ni "special for private"....sio ya kibiashara,ni sawa na mtu ukanunua Mark X au Alteza kwa ajili kufanya biashara ya usafiri.Dash8 ni kitu ya kazii...huu ni mpela mpela mpaka kunakucha

Mkuu nilitumia metaphor kueleza ujumbe sio kama ulivyofikiria
 
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
Unaweza kuwa ume fanya utafiti sahihi kabisa, hongera sana. Ila sijui tofauti za ndege ila nahisi unaweza kua ume tu potosha au vyombo vya habari vime tupotosha kidogo , Mwananchi ili tuambia kwanza ndege zitakazo kuja ni Bombardier Q 400, wewe ume tuambia bombadier dash 8-400 , siwezi li zungumzia hili kwa kua si mtaalamu, ila nadhani research yako kwa kua ulikua una lengo la kutu elimisha tusio fanya tafiti unge kua una tupa walau reference tujifunze zaidi.

Na kwa uelewa Mdogo usio wa kitaalamu wa mambo ya Anga, nadhani uwezo mkubwa wa kusafiri kwa haraka na uwezekano wa kupata abiria wengi ndio mafanikio ki biashara, ume toa tofauti za kukaa angani kwa ndege kwa safari ya MNZ - DAR , ume toa na uwezo wa ndege yetu kutua mahali kwingine, je vipi kuhusu soko la njia hizo zingine? Hivi wanao panda wana panda kukimbizana na muda au ili wasafiri na ndege? Mi nihisi kwamba biashara hii ina tegemea wingi wa abiria ( market) uharaka wa safari ( muda wa angani) na Huduma bora, bado naamini katika hili la HUDUMA bora tuta wapiku vibaya Fastjet kwa maana wana Huduma mbovu kwa wateja hasa wanapo hairisha safari au abiria akitaka kubadiri muda au siku ya safari....lakini si vinginevyo tuna hitaji kukimbizana na uli mwengu ili kesho tuweze kusogea hata nchi jirani.
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg

NB : mimi si mtaalamu wa mambo ya anga najifunza tuu toka kwako
j
Unaweza kuwa ume fanya utafiti sahihi kabisa, hongera sana. Ila sijui tofauti za ndege ila nahisi unaweza kua ume tu potosha au vyombo vya habari vime tupotosha kidogo , Mwananchi ili tuambia kwanza ndege zitakazo kuja ni Bombardier Q 400, wewe ume tuambia bombadier dash 8-400 , siwezi li zungumzia hili kwa kua si mtaalamu, ila nadhani research yako kwa kua ulikua una lengo la kutu elimisha tusio fanya tafiti unge kua una tupa walau reference tujifunze zaidi.

Na kwa uelewa Mdogo usio wa kitaalamu wa mambo ya Anga, nadhani uwezo mkubwa wa kusafiri kwa haraka na uwezekano wa kupata abiria wengi ndio mafanikio ki biashara, ume toa tofauti za kukaa angani kwa ndege kwa safari ya MNZ - DAR , ume toa na uwezo wa ndege yetu kutua mahali kwingine, je vipi kuhusu soko la njia hizo zingine? Hivi wanao panda wana panda kukimbizana na muda au ili wasafiri na ndege? Mi nihisi kwamba biashara hii ina tegemea wingi wa abiria ( market) uharaka wa safari ( muda wa angani) na Huduma bora, bado naamini katika hili la HUDUMA bora tuta wapiku vibaya Fastjet kwa maana wana Huduma mbovu kwa wateja hasa wanapo hairisha safari au abiria akitaka kubadiri muda au siku ya safari....lakini si vinginevyo tuna hitaji kukimbizana na uli mwengu ili kesho tuweze kusogea hata nchi jirani.

NB : mimi si mtaalamu wa mambo ya anga najifunza tuu toka kwako
Mkuu Ndikusyaganya twende pamoja na kwa utaratibu,tutaelewena na mjadala utanoga.
Kwanza kumbuka sina haja ya kupotosha hapa jukwaani...Maana JF sio jukwaa la watu mbumbumbu.
Ni kweli unachanganya madesa,ama kwa kutokujua au kwa kuwa na taarifa nusunusu.
Bombardier ni Kampuni inayotendegeza ndege,kumbe Dash8 ni aina moja wapo ya ndege zinazotengenezwa na Bombardier.

Hivyo si mimi wala Gazeti ulilolisoma limepotosha,maana kama walisema Bombaridier Q400,maanake walifupisha tu wakijuwa wote wasomaji wataelewa,lkn kwa anayejuwa akiona "Bombardier Q400" anajuaa tu ni Dash8-Q400.

Hawa Bombardier wanatengeneza ndege za aina tofauti,Jet Engines na Turboprop Engines,ndege hizi zina matoleo tofautitofauti.Mfano mpaka ukafikie kwenye Dash8-Q400,maanake kuna Dash8-Q100,Dash8-Q200,Dash8-Q300 na sasa latest ni Dash8-Q400 ya kisasa na ndio Tanznia imenunua.

Kampuni hii pia hutengeneza ndege za Jet engines,ambazo zinatumiwa sana na Shirika la Delta la US na lile la Ujerumani.Ndge nzuri,ndefu kama mshare na za kisasa sana.Ndio Rwanda anamiliki kwa sasa baada ya kununua Dash8-Q400.Hizi za Jet engine zinaitwa Bombardier CRJ-900 Next Generation.

Kwa hiyo mtu akisema Bombardier S900(series) inajulikana tu ni CRJ-900,maana hizi CRJ nazo zina "series" ,ipo 700,800 hadi 900 ambayo ni latest kabisa.Kwa hiyo mkuu wangu Bombardier Q400 ndio hiyohiyo Dash8-Q400.

Ni sawa na kusema Toyota Mark II,Toyota Carina,Toyota Pick up,hizi zote ni Toyota lkn aina tofauti.
Angalia hapo kiwandani Bombardier,Mteja mzuri Rwanda...kanunua mwanzo Turboprop,alipoimarika akavuta CRJ jet engines.Na sisi ndio tumeanza.Tunavuta Turboprop kwa cash....Baadae tutavuta Jet hata kwa installment

Ni kweli wewe husafiri sana na ndege,ungekuwa unasafiri ungejuwa hayo maeneo yalivyo na abairia wengi.Kigoma,Tabora hadi Musoma Precision anaenda na abiria bado ni wengi
 
Mkuu dolevaby Tanzania inahitaji taasisi imara,tukianza na mahakama,taasisi za kupambana na rushwa,Polisi,mkurugenzi wa mashtaka......Hapo tutakuwa tumepiga hatua lakini tukitegemea mtu badala ya taasisi naona ni jambo la hatari sana.

Fikiria Mwl Nyerere aliweza kununua Boieng enzi hizo hakuwa na dhahabu wala gesi,wamekuja viongozi wa ajabu ajabu wakaliuza shirika letu kwa makaburu walinyongelea mbali,wakauza nyumba za sererekali leo majaji,makamishna... wanaishi mahotelini.Kama tungekuwa na taasisi imara naamini mizengwe mingi ingezuiliwa au kupungua.
Kuna mijitu tukiiambia namna hii haielewi sababu akili walikabidhi kwa watu wengine wamebakiwa na ..kichwa chakufugia Nywele tu! ...Kutoka kuwa na Taasisi Imara ndio kumerudisha nyuma hii Nch miaks yote kila mtawala anakuja nayake!
 
Mimi hofu yangu ni muda wa safari kuwa mrefu hivyo kushindwa kushindana na Fastest katika same root na hivyo kukosa faida na kushindwa kukua kibiashara. Sio mikoa yote ina idadi kubwa ya wananchi wanaweza kumudu kupanda ndege. Jamaa waumize kichwa na kufanya restructuring ya shirika sasa
Muda ni saa 1.30 Dar-Mwanza kwa maelezo ya Muheshimiwa Waziri mwenye dhamana aliyoitoa jana TBC.
 
Nadhani serekali imejitahidi walau kwa kuanza kununua ndege hilo tu limenifurahisha.Pili bei ya Airbus & Boeing ni kubwa ukilinganisha na Dash8-400.Tatu muda wa kutengeneza Dash8-400 ni mfupi ukilingansha na Airbus & Boeing kama tungeamua kununua Boeing au Airbus labda tungeletewa mwaka 2018 au 2020.Nne gharama za uendeshaji Dash8-400 ni ndogo ukilinganisha na Boeing & Airbus mwisho Dash8-400 ina uwezo wa kutua katika viwanja vingi Tanzania ukilinganisha na Boeing au Airbus.

Ni vyema tukawa na utaratibu wa kupongeza pae serekali inapofanya vizuri.Katika suala la kuifufua ATCL naipongeza serekali kwa kutuondolea aibu ya muda mrefu.Nina amani huu ni mwanzo mzuri ipo siku tutanunua ndege kubwa na bora zaidi iwapo suala la nidhamu ya matumizi bora ya mapato na matumizi ya serekali yatazingatiwa.

Mungu ibariki Tanzania,Mungu ibariki Afrika.
safi sana naongezea hii inaweza tua hata viwanja korofi kama musoma na kigoma,
 
Jamani hivi mmiliki wa fastjet ni mtanzania au ? kama ni mtanzania mbona tunamwombea mabaya hivi na wakati anatusaidia sana kwa sasa? kama ni mtanzania tuendelee kumpa moyo , biashara ni ushindani , tazama Tanesco wanavyotutesa sababu tu hawana mshindani
hapana mmiliki wake ni mwingereza nashirikiana na jaluo mmoja.
 
Jana waziri amaeongea vizuri sana

Ukinunua ndege kwa Cash ina faida kwamba unapata fursa ya kufanya bargaining, kwa hiyo badala ya kununua ndege kwa $ 30 milioni unaweza kununua ndege kwa $ 26-27-28, ndivyo ilivyofanyika kwa Hizi ndege, sasa tungenunua hizo ndege kwa mkopo tungetakiwa tulipe na Riba yaan Interest.

Hongera sana Mh. Rais.
 
karibu home kabajaj ketu ka taifa,wabongo wanaongea sana ujue watakuteta wakiwa humo humo umewabeba,usikasirike tu ukapitiliza kiwanja na kutua shambani km mwenzio yuleee wa zamani alivyofanya kigoma.
ha ha haaa
 
Kama vitu hamvijui msiwe mnashabikia....Kwenye "Test Flight" kawaida landing gears zinakuwa nje tu.
Barafu, naona test flight imeshakamilika, tuelezwe siku ya kutua bongo tuipokee tupige cheers za kutosha.
 
View attachment 390212 View attachment 390213 View attachment 390214 j

Mkuu Ndikusyaganya twende pamoja na kwa utaratibu,tutaelewena na mjadala utanoga.
Kwanza kumbuka sina haja ya kupotosha hapa jukwaani...Maana JF sio jukwaa la watu mbumbumbu.
Ni kweli unachanganya madesa,ama kwa kutokujua au kwa kuwa na taarifa nusunusu.
Bombardier ni Kampuni inayotendegeza ndege,kumbe Dash8 ni aina moja wapo ya ndege zinazotengenezwa na Bombardier.

Hivyo si mimi wala Gazeti ulilolisoma limepotosha,maana kama walisema Bombaridier Q400,maanake walifupisha tu wakijuwa wote wasomaji wataelewa,lkn kwa anayejuwa akiona "Bombardier Q400" anajuaa tu ni Dash8-Q400.

Hawa Bombardier wanatengeneza ndege za aina tofauti,Jet Engines na Turboprop Engines,ndege hizi zina matoleo tofautitofauti.Mfano mpaka ukafikie kwenye Dash8-Q400,maanake kuna Dash8-Q100,Dash8-Q200,Dash8-Q300 na sasa latest ni Dash8-Q400 ya kisasa na ndio Tanznia imenunua.

Kampuni hii pia hutengeneza ndege za Jet engines,ambazo zinatumiwa sana na Shirika la Delta la US na lile la Ujerumani.Ndge nzuri,ndefu kama mshare na za kisasa sana.Ndio Rwanda anamiliki kwa sasa baada ya kununua Dash8-Q400.Hizi za Jet engine zinaitwa Bombardier CRJ-900 Next Generation.

Kwa hiyo mtu akisema Bombardier S900(series) inajulikana tu ni CRJ-900,maana hizi CRJ nazo zina "series" ,ipo 700,800 hadi 900 ambayo ni latest kabisa.Kwa hiyo mkuu wangu Bombardier Q400 ndio hiyohiyo Dash8-Q400.

Ni sawa na kusema Toyota Mark II,Toyota Carina,Toyota Pick up,hizi zote ni Toyota lkn aina tofauti.
Angalia hapo kiwandani Bombardier,Mteja mzuri Rwanda...kanunua mwanzo Turboprop,alipoimarika akavuta CRJ jet engines.Na sisi ndio tumeanza.Tunavuta Turboprop kwa cash....Baadae tutavuta Jet hata kwa installment

Ni kweli wewe husafiri sana na ndege,ungekuwa unasafiri ungejuwa hayo maeneo yalivyo na abairia wengi.Kigoma,Tabora hadi Musoma Precision anaenda na abiria bado ni wengi

Mkuu barafu usichoke kutoa darsa hii ni JF unachokijua wewe yamkini mwenzako hakijui.Muuliza swali angeweza kutembela web site ya Bombardier angepata majibu yote haya bila kutumia nguvu kubwa.
 
Ndege siku hizi wat
Nyie ndo wakushangilia mkuu! Sisi huku ambao ni asilimia zaidi kidogo ya 90 na ambao ndiyo wazalendo wa ukweli na ambao ndiyo wadau halisi wa "Hapa kazi tu" Bado tunasubiria shehena ya magwangala na Vichwa na miguu ya kuku na Sisi tusherehekee!! Sisi tufurahie mdege kwa lipi? Tunaonaga tu likipita juu,hatutarajii hata kugusa bodi lake tukiwa hai!! Labda kwa muujiza au Ndotoni,hongereni.
Ndege siku hizi watu kibao wanapanda sio anasa tena ni kama City Boy
 
Ndege zenyewe watakuwa wanapanda wao wenyewe tu, sisi walalahoi tutaendelea na malori yetu
Una hoja mkuu.
Sidhani kama ofisa wa serikali atakubaliwa kukata PW au kwingineko wakati shirika la umma lipo. Na matokeo yake huenda wakata ticket wakawa wanauliza kwanza kama kuna 'maelekezo' yoyote kabla ya kukuuzia tiketi wewe MKWEPA KODI kitu ambacho kilipelekea mauti ya kwanza ambapo mwenye identity dhaifu kama wewe ungeachwa dakika za mwisho airport ili 'mkubwa' asafiri!
 
Kaburi hilo linakuja,nchi tajiri kama tz mmeshindwa kununua AIR BUS 320?
 
Ndege ya ATCL angani ikipasua anga na mawingu kwa ajili ya Test Flight. Sasa ni tayari kwa safari ya kuja nyumbani.

Alama ya Twiga wetu inaenda kuruka na kutambaa katika milima na mabonde ya Tanzania. Tunarudi tena katika anga la Tanzania. Nia ya dhati iliyotumika kulifufua shirika hili, itumike pia kutuweka watanzania kama wamoja, kwa chuki na uhasama wa "kuminywa demokrasia", turudishwe na tuwe wamoja.

Tunaenda hatua kwa hatua,kwa ile kanuni yetu ya "JF be the first to know", welcome back home.

The Wings of the Kilimanjaro

View attachment 390071
photoshop moja
 

Kandege ketu hata hakafungi matairi kakiwa angani.....

Ukikiangalia kwa mbali utadhani Bajaj...
Wabongo bwana yaani ndo maana Mwenyezi Mungu aliumba vilaza wengi kwn hatujui hata ku appreciate kwa kidogo tunachopata. So mlitaka mletewe ndege kubwa hata bila kufanya majaribio kama italeta faida au hasara? Hata fast jet walianza na vibajaj tena bora na hii ni bajaza, walipotanua wigo wa soko ndo wakaleta ndege kubwa.

Yaan sijui tumeumbwaje ndo maana hatufanikiwi
 
Kweli tunachechemea afu kuna watu wanajifariji tunabana matumizi..na hii nayo wanaweza sema inatua viwanja vyote TZ na ni ndege yenye ubora kulinganisha na ndege wanazotumia majirani zetu wa afrika mashariki na kati.
Duh... Kwa hy unataka tushindane na majirani zetu hata bila kujua kama shirika litaendeshwa kwa faida au hasara? Ikinunuliwa kubwa mngeongea pia, wabongo bwana
 
Back
Top Bottom