Ndege ya ATCL angani..Ikipasua anga na mawingu kwa ajili ya Test Flight.Sasa ni tayari kwa safari ya kuja nyumbani.
Alama ya Twiga wetu inaenda kuruka na kutambaa ktk milima na mabonde ya Tanzania.Tunarudi tena ktk anga la Tanzania.Nia ya dhati iliyotumika kulifufua shirika hili,itumike pia kutuweka Watanzania kama wamoja,kwa chuki na uhasama wa "kuminywa demokrasia",turudishwe na tuwe wamoja.
Tunaenda hatua kwa hatua,kwa ile kanuni yetu ya "JF be the first to know"...,Welcome back home
The Wings of the Kilimanjaro
View attachment 390071