Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,105
- 165,329
Mkuu mi naona wafanye bure wiki nzima kama BRT ili kuweza kuvutia watu wengi wawe karibu na ndege yao pendwa .nauli wafanye laki moja bas dar mwanza
Haikunji matairi au?
Nyie ndo wakushangilia mkuu! Sisi huku ambao ni asilimia zaidi kidogo ya 90 na ambao ndiyo wazalendo wa ukweli na ambao ndiyo wadau halisi wa "Hapa kazi tu" Bado tunasubiria shehena ya magwangala na Vichwa na miguu ya kuku na Sisi tusherehekee!! Sisi tufurahie mdege kwa lipi? Tunaonaga tu likipita juu,hatutarajii hata kugusa bodi lake tukiwa hai!! Labda kwa muujiza au Ndotoni,hongereni.Sikujua kama na mimi ni tajiri maana nazipanda sana hizo.
Hamna ubaya kwasababu nchi ni ya wote matajiri,masikini,wazee,vijana etc.Nyie ndo wakushangilia mkuu! Sisi huku ambao ni asilimia zaidi kidogo ya 90 na ambao ndiyo wazalendo wa ukweli na ambao ndiyo wadau halisi wa "Hapa kazi tu" Bado tunasubiria shehena ya magwangala na Vichwa na miguu ya kuku na Sisi tusherehekee!! Sisi tufurahie mdege kwa lipi? Tunaonaga tu likipita juu,hatutarajii hata kugusa bodi lake tukiwa hai!! Labda kwa muujiza au Ndotoni,hongereni.
Kuwasha mwenge,kuwasha mwenge
Nakuuweka Kilimanjaro,
Umulike hata nje ya mipaka yetu
Ulete tumaini ,
Pale ambapo hapana matumaini
Upendo mahali ambapo pana chuki
Na heshima ambapo pamejaa dharau ......

Pengine haki miliki ilishauzwa miaka mingi.kawepo kaneno kilimanjaro basi kanakoonekana, sio mpk wenzetu waandike ndo tupige kelele.
lini tutatumia nembo ya haka kamlima??????????
Labda..Kwani mbowe ndie ameinunua?
Mbona inapaa bila kukunja tairi?Ndege ya ATCL angani..Ikipasua anga na mawingu kwa ajili ya Test Flight.Sasa ni tayari kwa safari ya kuja nyumbani.
Alama ya Twiga wetu inaenda kuruka na kutambaa ktk milima na mabonde ya Tanzania.Tunarudi tena ktk anga la Tanzania.Nia ya dhati iliyotumika kulifufua shirika hili,itumike pia kutuweka Watanzania kama wamoja,kwa chuki na uhasama wa "kuminywa demokrasia",turudishwe na tuwe wamoja.
Tunaenda hatua kwa hatua,kwa ile kanuni yetu ya "JF be the first to know"...,Welcome back home
The Wings of the Kilimanjaro
View attachment 390071
Unaishabikia timu iliyoko Ulaya, unaiponda timu ya homeland,Labda..