Yametimia, ndege ya ATCL, Dash8-Q400 angani

Yametimia, ndege ya ATCL, Dash8-Q400 angani

KAMPUNI YA MGODI WA DHAHABU BARRICK WANA NDEGE KAMA HIYO DASH 8...

OVA
 
KAMPUNI YA MGODI WA DHAHABU BARRICK WANA NDEGE KAMA HIYO DASH 8...

OVA
Lakini sio Dash8-Q400!!....na wao wameshaiuza baada ya Mgodi kubebwa na mchina.Hivyo kwa sasa hawana tena
 
Kaburi hilo linakuja,nchi tajiri kama tz mmeshindwa kununua AIR BUS 320?
Unajua unaloliongea?Hiyo A320 una sbb zozote za kibiashara kutaka inunuliwe hiyo na siyo Dash8-Q400?
 
Kaburi hilo linakuja,nchi tajiri kama tz mmeshindwa kununua AIR BUS 320?
My sister. Mahitaji yetu ya usafiri wa anga, kwa sasa hivi, hayahitaji airbus 320 sijui 319. Kwa sasa hivi hio ya pangaboi inatosha kuanzia. Muda utafika tutahitaji hio Airbus 320/Boeng 777 etc tutanunua.
 
ROUTE ZA DUBAI,LONDON....ZINARUDI WATANZANIAA

OVA
 
Inapendeza sana kama mtu anajadili mada kama hizi,awe na ABC ya usafiri wa anga na changamoto zake.
Fastjet tunaenda kukimbiza sana sana.Kwa sbb yeye anatumia ndege aina ya A319 inayobeba abiria 156.
Sisi tunaenda kuwa na Dash8-400 abiria 78.Safari ya Mwanza to Dsm,ATCL inatumia saa 1.20 hadi 25 wakati Fastjet anatumia saa 1.10 hadi 15.ATCL anatumia tani 1.2 kwa safari hiyo,wakati fastjet anatumia tani 3.1 za mafuta JET A1 kwenda Mwanza.

ATCL anatuwa viwanja vyote Tz vyenye lami na vile vya vumbi,wakati Fastjet anatuwa viwanja vitano tu Tz kwa maana ya Mwanza,KIA,Dsm,Znz na Mbeya.Huku ATCL akituwa Kigoma,Tbr,Mbeya,Lindi,Mtwara,Arusha,Iringa,Songea,Musoma,Dodoma,Mpanda nk

Ili fastjet atuwe na kuruka,Runway ya kiwanja inatakiwa iwe km 2.3 wakati ATCL anatuwa kwenye kiwanja chenye 1.2 km,ambavyo ndo viwanja vingi vilivyopo Tanzania.

Kwa kulitambua hili,Fastjet ameamua kuanza kuuza ndege zake zooote,ili anunue walau E190 aendane na ushindani wa soko.Kuepuka ghalama za mafuta na vipuri.

Sasa hapo ni nani anamtishia mwenzake?Muwe mnafanya utafiti kabla ya kutoa mchango
Dah bonge la darasa mkuu, asante kwa kunifumbua macho
 
Kwa faida ya wengi


for Two Q400 Turboprops

July 25, 2016TorontoCommercial Aircraft, Press Release

  • cq5dam.web.320.225.png

    Bombardier Q400 aircraft

    Low Resolution (149 KB)High Resolution (3 MB)
Bombardier Commercial Aircraft announced today that the Government of Tanzania has signed a firm purchase agreement for two Q400 turboprop airliners. The aircraft will be delivered with a 76-seat, dual-lavatory configuration and will be used for commercial airline operations in the region.

Based on the list price of the Q400 airliner, the firm order is valued at approximately US $62 million.

“Our Q400 aircraft will provide affordable, convenient and comfortable air transport solutions,” said Dr. Leonard Chamuriho, Permanent Secretary, Ministry of Transport, Works and Communication, Tanzania. “We are committed to providing state-of-the-art service to our passengers and are keen to expand further as our business grows to include new destinations in Tanzania and the African region.

“Tanzania is a large country with some challenging airfields, and the Q400 turboprop’s capability to operate at these airports, its jet-like speed, long-range cruise capability and outstanding turboprop economics were key factors that guided us in selecting the aircraft for our operations,” added
Dr. Chamuriho. “The level of in-continent support that Bombardier offers is also very important for us.”

“This transaction not only solidifies the relationship between the Government of Tanzania, and Bombardier, but also reaffirms Africa as one of the most prolific Q400 aircraft markets. The Q400 aircraft is a showcase for the continent, where it has proved itself to be extremely efficient as well as cost-effective,” said Jean-Paul Boutibou, Vice President, Sales - Middle East and Africa, Bombardier Commercial Aircraft.

Bombardier’s Dash 8/Q-Series turboprops and CRJ Series regional jets have made significant advances in Africa where approximately 160 aircraft – including more than 50 Q400 turboprops -- are in service with, or ordered by, approximately 40 customers and operators.

Bombardier’s customer support network for commercial aircraft in Africa includes a Regional Support Office (RSO) and spare parts depot, co-located in Johannesburg, South Africa as well as Authorized Service Facilities in South Africa and Ethiopia. Operating from the company’s regional office located in the United Arab Emirates, Bombardier Commercial Aircraft’s sales and marketing team is well positioned to provide industry-leading solutions to its current and prospective customers.

About the Q400 Aircraft
Designed as a modern, 21st-century turboprop, the Q400 aircraft is the most recent development in the Q Series family of aircraft. It provides unmatched performance, operational flexibility and passenger comfort. In addition to the standard single-class configuration, Q400 aircraft are available with an optional dual-class interior for enhanced passenger comfort; in an optional extra-capacity configuration offering up to 90 seats for higher-density markets; and in a cargo-passenger combi configuration.

Thanks to its combination of turboprop attributes, jet-like features, industry-leading passenger experience and environmental footprint, the Q400 aircraft is exceptionally versatile and can be adapted to a variety of business models. By offering a 30 per cent reduction in fuel burn over the jets it often replaces, the Q400 aircraft radically reduces carbon emissions and increases cost efficiency. Its high-speed cruise -- 160 km/h faster than conventional turboprops -- places the aircraft’s flight time within minutes of jet schedules, at the same seat cost as larger single-aisle jets. Its large propellers operate at a lower RPM, generating more power with less noise and making it a friendly option for city centres.

The Q400 aircraft family includes over 60 owners and operators in almost 40 countries. The worldwide fleet has logged more than 6.9 million flight hours and has transported more than 429 million passengers. Long recognized as a high-value asset by operators, the Q400 aircraft is now also attracting growing interest from the leasing community.

Bombardier has recorded firm orders for a total of 564 Q400 aircraft.

About Bombardier
Bombardier is the world’s leading manufacturer of both planes and trains. Looking far ahead while delivering today, Bombardier is evolving mobility worldwide by answering the call for more efficient, sustainable and enjoyable transportation everywhere. Our vehicles, services and, most of all, our employees are what make us a global leader in transportation.

Bombardier is headquartered in Montréal, Canada. Our shares are traded on the Toronto Stock Exchange (BBD) and we are listed on the Dow Jones Sustainability North America Index. In the fiscal year ended December 31, 2015, we posted revenues of $18.2 billion. News and information are available at bombardier.com or follow us on Twitter @Bombardier
 
karibu home kabajaj ketu ka taifa,wabongo wanaongea sana ujue watakuteta wakiwa humo humo umewabeba,usikasirike tu ukapitiliza kiwanja na kutua shambani km mwenzio yuleee wa zamani alivyofanya kigoma.
Teh teh teh utaitwa mchochezi wa kiwango cha lami....
 
Ivo vifeni vyake kama cha GHETO vilee, hivi ndo havikwii kupoteza ndugu zetu.. Mwanzo mzur ila Serikali iache kuleta videge vyenye uwezo wa kupakia abiria wa EICHER ZA MBAGALA
 
Ndege zenyewe watakuwa wanapanda wao wenyewe tu, sisi walalahoi tutaendelea na malori yetu

Ni uchaguzi wako tu. Utapanda lori, utapanda basi, sasa ni ndege na ndani ya miaka mitatu reli ya TRC.
 
Back
Top Bottom