mkuu watu wengine wana roho mbaya watajisaidia kama walivyofanya kwenye daraja la ubungo.Mkuu mi naona wafanye bure wiki nzima kama BRT ili kuweza kuvutia watu wengi wawe karibu na ndege yao pendwa .
Ile ndege utadhani vitz, ina pangaboi moja mbele, au sio yetu?Ujue ile ndio tuliletewa kwenye social media.
mkuu, tayari lema keshadondoka presha iko juu kisa ndege,Kama vitu hamvijui msiwe mnashabikia....Kwenye "Test Flight" kawaida landing gears zinakuwa nje tu.
Tupo pamoja mkuu Belo ukinifuatilia humu michango yangu kwenye jukwaa la siasa,napingana sana na approach ya JPM juu ya upinzani na namna ya kuliingilia Bunge.Na huwa nakosoa kwa staha.barafu Tangu hii issue ya kufufuka kwa ATCL umekuwa ukijitahidi kufafanua mambo mengi sana licha ya kubezwa na watu wengi wasio na idea ya aviation industry.Hongera sana na usichoke kufafanua sisi Watanzania siasa imetufanya tumekuwa tunajua kila kitu
Heko.Mimi hofu yangu ni muda wa safari kuwa mrefu hivyo kushindwa kushindana na Fastest katika same root na hivyo kukosa faida na kushindwa kukua kibiashara. Sio mikoa yote ina idadi kubwa ya wananchi wanaweza kumudu kupanda ndege. Jamaa waumize kichwa na kufanya restructuring ya shirika sasa
Ile ndege sijui nani aliileta.. Akatufanya tutokwe na mapovu sanaaa!Ile ndege utadhani vitz, ina pangaboi moja mbele, au sio yetu?
Mimi hofu yangu ni muda wa safari kuwa mrefu hivyo kushindwa kushindana na Fastest katika same root na hivyo kukosa faida na kushindwa kukua kibiashara. Sio mikoa yote ina idadi kubwa ya wananchi wanaweza kumudu kupanda ndege. Jamaa waumize kichwa na kufanya restructuring ya shirika sasa
Mkuu mimi ndege kwangu sio "Chombo cha Usafiri" kama abiria anavyokuja kupanda.Hii kwangu ni ofisi,ninapoaga nyumbani kuwa naenda kazini...Ujuwe naenda angani kushinda huko.Nimeruka anga ya Tz nannikaamua kuja kuruka kwenye anga la nchi za watu.ATCL inarudi,nami nitarudi nyumbani kwa Mama Tanzaniamtaishia kusifia na kutoa mimacho lkn hampandi NG'OOOOOOOO
haa haaa haaa kama ilivyo adaaHaikunji matairi au?
Pangaboi mbele?Hakuna kitu kama hicho,ndege yenye banga boi mbele ni zile ndogo single engine,ambazo ukubwa wake ni kubeba abiria13 au pungufu.Mkuu barafu kuna nyingine ina pangaboi mbele, hebu weka picha.
Mkuu tuliwekewa picha hapa jamii forums, ndege kama suzuki carry.Pangaboi mbele?Hakuna kitu kama hicho,ndege yenye banga boi mbele ni zile ndogo single engine,ambazo ukubwa wake ni kubeba abiria13 au pungufu.
Bombardier ni double Engines…..jilidhishe kuona kuwa humu ndani kuna ndege ya ATCL iliyoletwa humu na single engine
Inapendeza sana kama mtu anajadili mada kama hizi,awe na ABC ya usafiri wa anga na changamoto zake.Hilo liko wazi kabisa, sidhani kama lita compete na Fastjet
Ha ha haaa...so funny to be true!!karibu home kabajaj ketu ka taifa,wabongo wanaongea sana ujue watakuteta wakiwa humo humo umewabeba,usikasirike tu ukapitiliza kiwanja na kutua shambani km mwenzio yuleee wa zamani alivyofanya kigoma.
teeh!teeh !Ndege zenyewe watakuwa wanapanda wao wenyewe tu, sisi walalahoi tutaendelea na malori yetu