Yamenikuta, msaada tafadhali

Yamenikuta, msaada tafadhali

Thanks mkuu

Maelezo yako yana msingi mkuu maana hata kunikubalia ilikuwa kwa shingo upande sasa nashangaa alivyobadilika ghafla.

She kind thinking about her pain full past moment.

may be!
 
Bado ana tafta mwenye dushelele nchi 12 we la kwako nchi 3 kaona unamzingua.
 
sidhani mkuu maana yeye mwenyewe aliomba pause!!

kuomba pause hakumaanishi kuwa ndiyo ishara ya kukunwa vizuri.........

inaweza ikawa kwasababu ya kuumia , kuboreka n.k........waulize wanawake wenyewe watakufafanulia.
 
Mrejesho

Baada ya kumlia bati huyu demu kanitumia hii name sijamjibu chochote

""""'' G ujue wew ulikuwa hunampango na mm nilikuw na kupima tu yan boyz mmmmmh najuta sana.hv a nyc tym""""


wakuu nimjibu vipi huyu??


cc😡Tized, christine ibrahim

Mjibu Good night....
 
Last edited by a moderator:
Habari wana MMU

Kuna binti niliyetokea kumtongoza kama mwezi mmoja uliopita, katika kufahamiana nikagundua binti huyu alikuwa na mpenzi akaachwa.

Yeye pia aliniambia hilo.

Majuzi alikubali Kunipa mchezo usiku kucha bila hiyana na akawa amesafiri.

Nikimtumia meseji hajibu anakuwa kimya tu.

Usiku huu kanitumia huu ujumbe.

Sorry but naomba tubakie like a sister and brother kwa sababu mapenzi yamenichanganya sitaki kuwa na boy yeyote tena in ma life nataka niwe single please nielewe even though tushajuana.

Wakuu naombeni ushauri wenu nitamrudusha vipi kwenye reli maana bado nampenda na hatujawahi kukwazana sijui kapatwa na nini.

Kubali matokeo kaka, ushatoswa potezea na machungu yako!! ukijifanya kupe yatakayokupata tutakukuta ahera
 
Ukweli ni kwamba huyo binti ana stress na kuna uwezekano mkubwa huyo mshkaj wake anataka warudiane na mzan umezidi kwake
 
Mrejesho

Baada ya kumlia bati huyu demu kanitumia hii nami sijamjibu chochote na ameituma Mara 2 Mimi kimya

""""'' G ujue wew ulikuwa hunampango na mm nilikuw na kupima tu yan boyz mmmmmh najuta sana.hv a nyc tym""""


wakuu nimjibu vipi huyu??


cc: Tized, christine ibrahim

mwambie huwa unaheshimu sana maamuzi ya mtu ndo maana ukanyamaza na maumivu yako... ila nahisi kamaunatuchezea vile..
 
Last edited by a moderator:
Hata hao unaowaomba ushauri usifikiri ndio wataalamu wa mapenzi. Kila mtu anasumbuliwa na mpenziwe nikiwemo mimi. Mapenzi hayana fundi ujue.
 
kuomba pause hakumaanishi kuwa ndiyo ishara ya kukunwa vizuri.........

inaweza ikawa kwasababu ya kuumia , kuboreka n.k........waulize wanawake wenyewe watakufafanulia.

Nashukuru kwa ushauri mkuu
 
Hata hao unaowaomba ushauri usifikiri ndio wataalamu wa mapenzi. Kila mtu anasumbuliwa na mpenziwe nikiwemo mimi. Mapenzi hayana fundi ujue.

Ni kweli mkuu ila kufarijiana napo si mbaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom