You are a smart guy judging from from this super insightUsifikiri kakosea au hajui anachokifanya. Its a TRICK. We mwambie tu SAWA. then kula bati
Ukikosea tu ukamuonesha hiko ''DESPERATION'' yako. UMEUMIA mzee.
Kama unabisha we mlambe miguu abadilishe msimamo wake uone hivyo vigezo na masharti utavyowekewa. The know how to hit where it hurts and timely for their advantage but at your disadvantage. Pls be a gentleman enough.
Ni kweli mkuu
Mrejesho
Baada ya kumlia bati huyu demu kanitumia hii name sijamjibu chochote
""""'' G ujue wew ulikuwa hunampango na mm nilikuw na kupima tu yan boyz mmmmmh najuta sana.hv a nyc tym""""
wakuu nimjibu vipi huyu??
cc😡Tized, christine ibrahim
will be waitingNitakupa namba yake akupatie majibu ya maswali yako mkuu
Unampenda kitu gan acha uongo, mchezo mara moja tu umepagawa je kama angepitisha round ya pili. kwanza inaonekana hujamkosha alitegemea kapata mchezaji kumbe kanjanja, nakushaur temana nayeHabari wana MMUKuna binti niliyetokea kumtongoza kama mwezi mmoja uliopita, katika kufahamiana nikagundua binti huyu alikuwa na mpenzi akaachwa.Yeye pia aliniambia hilo.Majuzi alikubali Kunipa mchezo usiku kucha bila hiyana na akawa amesafiri.Nikimtumia meseji hajibu anakuwa kimya tu.Usiku huu kanitumia huu ujumbe.Sorry but naomba tubakie like a sister and brother kwa sababu mapenzi yamenichanganya sitaki kuwa na boy yeyote tena in ma life nataka niwe single please nielewe even though tushajuana.Wakuu naombeni ushauri wenu nitamrudusha vipi kwenye reli maana bado nampenda na hatujawahi kukwazana sijui kapatwa na nini.
siwezi kazi gani mkuu
mbona nipo vizuri tu na yeye anafahamu?
Nimeshajiangalia mkuu Sina kasoro yoyote labda kwa sababu sijawahi kumpa hata senti tano yangu.
Niko -ve mkuu!
VE = simlpy means positiVE isnt?