Yamenikuta: Mapenzi mchezo mchafu

Yamenikuta: Mapenzi mchezo mchafu

Nina wasiwasi na umri wa wew mleta uzi ! Utakuwa under 20 wew! Ukiona hizo nyodo tambua wenzio washakula we miaka 4 unamtazama acha wenzio wakusaidie huyo Ni wa kaka zako tayar
 
Kumbe mwanafunzi wa sekondari, dogo inabidi ujisarimishe kituo cha porisi mwenyewe.
 
Wasalaam
Natumaini kila mmoja ni bukheri wa afya , napenda kuchukua fursa hii, kuomba maoni, ushauri kwa wenyeuzoefu

Mimi ni kijana chipkizi kiumri ni shabab mwenye afya njema but now nipo naendelea na masomo katika miangaiko yetu ya kawaida katika kutafuta elimu.

Kama tunavyojua "life is nothing without love" nilikua na galfriend wangu for 4yrs now but kulikua hakuna great interaction between me and she!

Tabia yake imenza kubadirika mara tu yakumaliza elimu ya secondary nikimtext anajibu shortly kwa mfano: sweetie mambo, umeamkaje jibu kutoka kwa bibie ni moja tu poa baada ya hapo usipo mtafuta na yy akutafuti

Nimevumilia sana ila hapana recently akaniambia ambayo binafsi haswaaa ndo yamenisukuma kuandika uzii huu! Mara baada ya kuniambia kwa anzia sasa haupo katika ramani ya kichwa changu akataja sababu kwamba sijui kupenda wala kupendwa kwa hivyo kwa nikae pending wanaojua kupenda wanionyeshe .

Binafsi maneno kama haya yaliniumiza ila she ! Bado na mpenda na juz kanitumia msg kwamba ameni miss baada ya kimya kirefu sasa niko njia panda naomba ushauri ni pige chini au niendelee kubaki nae! Katika hayo inadai u busy wangu ndounaoniponza ila kidume na jitahidi kushow love lakin workdone equal to zero! Karibuni kwa ushauri. Nawasirisha
Kwa hizo mbwembwe ulizoanza Nazo mwanamke mwenye akili zake lazima akupige chini
 
Unapokuja kuomba ushauri JF zingatia haya;

- Maelezo: Toa maelezo ya kina ya shida yako. Usiandike kana kwamba sisi tulikuwa nawe wakati yanakutokea

- Haihitaji hasira: Unapoulizwa swali ili kutoa maelezo ya ziada usikasirike. Toa maelezo, sikiliza muulizaji atasemaje. Ukitujibu kimkato nasi tutaendelea kukujibu kimkato. Be open hakuna anayekujua huku. Hujaulizwa jina lako.

- Elezea upande wako: Unapoomba ushauri ni vyema ukaelezea kinagaubaga shida yako kisha mwishoni ukasema, "Mimi nilikuwa nafikiria a, b na c... kwa sababu x, y, z!" Wadau mnanishaurije?

Siyo unaulizwa swali unakasirika au na wewe unauliza swali (kwani unatakia umri wake wa nini?).

Haya sasa jibu maswali ya wadau AU rekebisha thread yako uongeze details zote muhimu KISHA subiria ushauri.
 
kwanza ni kosa kumdoo mwanafunzi,,, haswa sekondari kuvudi chini.....pili watoto wa shule pasua kichwa dogo,,,,,,,tatu hata nyuchi hawajui kuziosha,, ukiinginga uvinza kojo tupu,,,, nne hawajui utamu wa ukuni,,, wanajua nje ndani nje ndani unampa visenti vya asante baaaaass...... so hapo sio pako dogo....
Naona analeta kihelehele kwenye mali ya serikali
 
Wasalaam
Natumaini kila mmoja ni bukheri wa afya , napenda kuchukua fursa hii, kuomba maoni, ushauri kwa wenyeuzoefu

Mimi ni kijana chipkizi kiumri ni shabab mwenye afya njema but now nipo naendelea na masomo katika miangaiko yetu ya kawaida katika kutafuta elimu.

Kama tunavyojua "life is nothing without love" nilikua na galfriend wangu for 4yrs now but kulikua hakuna great interaction between me and she!

Tabia yake imenza kubadirika mara tu yakumaliza elimu ya secondary nikimtext anajibu shortly kwa mfano: sweetie mambo, umeamkaje jibu kutoka kwa bibie ni moja tu poa baada ya hapo usipo mtafuta na yy akutafuti

Nimevumilia sana ila hapana recently akaniambia ambayo binafsi haswaaa ndo yamenisukuma kuandika uzii huu! Mara baada ya kuniambia kwa anzia sasa haupo katika ramani ya kichwa changu akataja sababu kwamba sijui kupenda wala kupendwa kwa hivyo kwa nikae pending wanaojua kupenda wanionyeshe .

Binafsi maneno kama haya yaliniumiza ila she ! Bado na mpenda na juz kanitumia msg kwamba ameni miss baada ya kimya kirefu sasa niko njia panda naomba ushauri ni pige chini au niendelee kubaki nae! Katika hayo inadai u busy wangu ndounaoniponza ila kidume na jitahidi kushow love lakin workdone equal to zero! Karibuni kwa ushauri. Nawasirisha

Nakushauri maliza kwanza shule kijana, si unajua cku hiz ukiwa na supp hupati mkopo
 
Pole sana! Mahusiano yana milima na mabonde... Usikate tama! Wasichana stage hiyo wako rahisi sana kushawishika na marafiki... Ukute marafiki walimuonesha jinsi ya kupenda ila amegu dua wewe ndo sahihi. Msamehe tu muendelee.
Namkushukuru sana
 
Mademu xx hvi nawfanyia UMAFIA!! Ni mwendo wa kupga na kusepa!! Iko hivi, atakaye kaa kwnye njia napga ksha nampotezea na kupiga ni zaid ya mara 2 after that Mikausho mikali mpka anitafute yy!! Akitoka huyo anakuja mwngine atakayekaa kwenye Site yngu!!
NINA ROHO MBAYA YA MADEMU sitaki hta kusikia wla kubembelezwa juu yao!! Nnapomfukuzia nakuwa mpore, mixer kumfanya Queue ila akinipa KANYA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom