Uyui HB
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 553
- 512
Kweli she confusing you, mpaka unakosea kama Magufuli ka KizunguShe confusing me!
Kweli she confusing you, mpaka unakosea kama Magufuli ka KizunguShe confusing me!
Kwa hizo mbwembwe ulizoanza Nazo mwanamke mwenye akili zake lazima akupige chiniWasalaam
Natumaini kila mmoja ni bukheri wa afya , napenda kuchukua fursa hii, kuomba maoni, ushauri kwa wenyeuzoefu
Mimi ni kijana chipkizi kiumri ni shabab mwenye afya njema but now nipo naendelea na masomo katika miangaiko yetu ya kawaida katika kutafuta elimu.
Kama tunavyojua "life is nothing without love" nilikua na galfriend wangu for 4yrs now but kulikua hakuna great interaction between me and she!
Tabia yake imenza kubadirika mara tu yakumaliza elimu ya secondary nikimtext anajibu shortly kwa mfano: sweetie mambo, umeamkaje jibu kutoka kwa bibie ni moja tu poa baada ya hapo usipo mtafuta na yy akutafuti
Nimevumilia sana ila hapana recently akaniambia ambayo binafsi haswaaa ndo yamenisukuma kuandika uzii huu! Mara baada ya kuniambia kwa anzia sasa haupo katika ramani ya kichwa changu akataja sababu kwamba sijui kupenda wala kupendwa kwa hivyo kwa nikae pending wanaojua kupenda wanionyeshe .
Binafsi maneno kama haya yaliniumiza ila she ! Bado na mpenda na juz kanitumia msg kwamba ameni miss baada ya kimya kirefu sasa niko njia panda naomba ushauri ni pige chini au niendelee kubaki nae! Katika hayo inadai u busy wangu ndounaoniponza ila kidume na jitahidi kushow love lakin workdone equal to zero! Karibuni kwa ushauri. Nawasirisha
Please nitafutekuwa naye
Naona analeta kihelehele kwenye mali ya serikalikwanza ni kosa kumdoo mwanafunzi,,, haswa sekondari kuvudi chini.....pili watoto wa shule pasua kichwa dogo,,,,,,,tatu hata nyuchi hawajui kuziosha,, ukiinginga uvinza kojo tupu,,,, nne hawajui utamu wa ukuni,,, wanajua nje ndani nje ndani unampa visenti vya asante baaaaass...... so hapo sio pako dogo....
Wasalaam
Natumaini kila mmoja ni bukheri wa afya , napenda kuchukua fursa hii, kuomba maoni, ushauri kwa wenyeuzoefu
Mimi ni kijana chipkizi kiumri ni shabab mwenye afya njema but now nipo naendelea na masomo katika miangaiko yetu ya kawaida katika kutafuta elimu.
Kama tunavyojua "life is nothing without love" nilikua na galfriend wangu for 4yrs now but kulikua hakuna great interaction between me and she!
Tabia yake imenza kubadirika mara tu yakumaliza elimu ya secondary nikimtext anajibu shortly kwa mfano: sweetie mambo, umeamkaje jibu kutoka kwa bibie ni moja tu poa baada ya hapo usipo mtafuta na yy akutafuti
Nimevumilia sana ila hapana recently akaniambia ambayo binafsi haswaaa ndo yamenisukuma kuandika uzii huu! Mara baada ya kuniambia kwa anzia sasa haupo katika ramani ya kichwa changu akataja sababu kwamba sijui kupenda wala kupendwa kwa hivyo kwa nikae pending wanaojua kupenda wanionyeshe .
Binafsi maneno kama haya yaliniumiza ila she ! Bado na mpenda na juz kanitumia msg kwamba ameni miss baada ya kimya kirefu sasa niko njia panda naomba ushauri ni pige chini au niendelee kubaki nae! Katika hayo inadai u busy wangu ndounaoniponza ila kidume na jitahidi kushow love lakin workdone equal to zero! Karibuni kwa ushauri. Nawasirisha
Namkushukuru sanaPole sana! Mahusiano yana milima na mabonde... Usikate tama! Wasichana stage hiyo wako rahisi sana kushawishika na marafiki... Ukute marafiki walimuonesha jinsi ya kupenda ila amegu dua wewe ndo sahihi. Msamehe tu muendelee.
