Yamenikuta: Mapenzi mchezo mchafu

Yamenikuta: Mapenzi mchezo mchafu

Kulikuwa hakuna great interaction between me and she,hivi kama unahisi ukitumia kiswahili utaeleweka sio utumie tu hichocho?=...**She haifany kazi kama pronoun kwa namna hiyo
Lugha ya kiundishi huenda ni haraka tu!
 
Endelea nae mtoto kakolea huyo si unajua watoto wa secondary zao kupima maji.
 
Haahaaa..kijana chipukizi..subiri kwanza machipukizi yakomae na uote na matawi ndio uanze hayo mambo..namaanisha soma kwanza utawakuta hao bado wanazaliwa.
 
Wasalaam
Natumaini kila mmoja ni bukheri wa afya , napenda kuchukua fursa hii, kuomba maoni, ushauri kwa wenyeuzoefu

Mimi ni kijana chipkizi kiumri ni shabab mwenye afya njema but now nipo naendelea na masomo katika miangaiko yetu ya kawaida katika kutafuta elimu.

Kama tunavyojua "life is nothing without love" nilikua na galfriend wangu for 4yrs now but kulikua hakuna great interaction between me and she!

Tabia yake imenza kubadirika mara tu yakumaliza elimu ya secondary nikimtext anajibu shortly kwa mfano: sweetie mambo, umeamkaje jibu kutoka kwa bibie ni moja tu poa baada ya hapo usipo mtafuta na yy akutafuti

Nimevumilia sana ila hapana recently akaniambia ambayo binafsi haswaaa ndo yamenisukuma kuandika uzii huu! Mara baada ya kuniambia kwa anzia sasa haupo katika ramani ya kichwa changu akataja sababu kwamba sijui kupenda wala kupendwa kwa hivyo kwa nikae pending wanaojua kupenda wanionyeshe .

Binafsi maneno kama haya yaliniumiza ila she ! Bado na mpenda na juz kanitumia msg kwamba ameni miss baada ya kimya kirefu sasa niko njia panda naomba ushauri ni pige chini au niendelee kubaki nae! Katika hayo inadai u busy wangu ndounaoniponza ila kidume na jitahidi kushow love lakin workdone equal to zero! Karibuni kwa ushauri. Nawasirisha
Wewe unaonaje...
 
Unajinadi kuwa we ni shababi af unalalamika kupuuzi hivi au wewe shababi toleo LA mwisho kabisa
 
huyo atakuumiza roho tu,.... kabla ya kumuacha hakikisha umemlisha peremendee kwanza😀
 
Labda mi sijaelewa vizuri, uendelee kubaki nae vipi na ameshakuacha? Si alikutamkia kaa pembeni waachie wanaojua kupenda na kupendwa sa kwani una option tena hapo kuchagua? Au sababu kakutumia msg Kakumiss, si inawezekana anakumiss tu lakini sio kama mpenzi wake?

Bro huna chako hapo acha kupasua kichwa, tumia moyo wako kusukuma Damu mwilini na kichwa chako kuwaza mengine ya maaendeleo, achana nae
 
Now days hakuna mapenzi ya kweri wee acha nae na fanya yako, bila shule hakuna maisha, Kwann ukae wakati kakuzalau, mbona ma binti kibao lamba sepa
 
Ungepukiwa na nn kama ungetumia kiswahili peke yake....
 
Pole sana! Mahusiano yana milima na mabonde... Usikate tama! Wasichana stage hiyo wako rahisi sana kushawishika na marafiki... Ukute marafiki walimuonesha jinsi ya kupenda ila amegu dua wewe ndo sahihi. Msamehe tu muendelee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom