Yaliyotusibu Serengeti

Yaliyotusibu Serengeti

Mambo mengine madogomadogo unataka na sisi tuyajue
 
Mambo mengine madogomadogo unataka na sisi tuyajue

Naona dada wewe ni expert wa kuhara kiasi kwamba unaona ni kitu kidogo kulala kwenye tent na Mtu mwenye tatizo la aina hio. Naheshimu uzoefu wako.
 
Nilihisi hayo yatamkuta huyo jamaa yenu. Maana parachichi, mayai ya kuchemsha, mahindi ya kuchemsha na nyama ya mdudu duuu!!

Funzo kwa wengine: usile vyakula vingi unapokwenda kulala kwenye matenti Serengeti au mbuga za wanyama.
 
nimeikumbuka sana serengeti yetu! mi nilikuwepo huko katika vipindi vyote viwili nilivyohitimu masomo ya sekondari! yani form four na form six. hivyo, suala la kukumbana ama kuonana na simba, chui, tembo, ngiri na wanyama wengine ndani ya mita 30 huku ukiwa kwa miguu lilikuwa ni jambo la kawaida (lakini hii ilikuwa ni ndani ya tourist hotel!)

hongereni lakini kwa kufanya utalii wa ndani, watanzania tumekuwa wazembe sana kufanya jambo dogo kama hili wakati kuna mapunguzo makubwa sana ya gharama ya kwenda kutalii katika mbuga zetu tofauti na wageni! licha ya hilo, watu hawaendi kabisa japo wana kipato cha kuwawezesha kwenda huko!
 
Mambo mengine madogomadogo unataka na sisi tuyajue

unajua maana ya punk wewe?

punk maana yake ni uozo!

uchafu, takataka...!

mtu asiye na maana, wa ovyo ovyo!

sasa jitambue mara moja mr PUNKY!

by the way, id yako mapanki ya mwanza enzi kidogo!
 
Last edited by a moderator:
Acha uchokozi! Ukidundwa usiniite!
Afu ulisema utanipeleka serengeti nikale maisha? Nataka niende wakati wa the great migration na staki kwenda na wewe.
unajua maana ya punk wewe?

punk maana yake ni uozo!

uchafu, takataka...!

mtu asiye na maana, wa ovyo ovyo!

sasa jitambue mara moja mr PUNKY!

by the way, id yako mapanki ya mwanza enzi kidogo!
 
Last edited by a moderator:
Mwanajeshi wa sirikali sio wa kwako bwana, weeh vipi?

Yaani unipeleke kulala vichochoroni? Mie nataka kulala singita sasakwa lodge, iko grumeti bwana, eboo! Kihoteli cha laki unusu kina hata maji ya kuoga?

Ofcoz staki kwenda na wewe usije ukaniangusha majaribuni. Kuna tour guides kule, wewe kata tikiti to mwanza, lipia kikunguru from mwanza to pori na lipia reservations za hoteli na meals, wala sio hela nyingi. Niwache niende alone, weeh baki jeiefu uandike mistari
hahahaaaa!!! jamani mwanajeshi wanguuu!!

jamani nime-smile asubuhi asubuhi unajua! thanks for beibg the part of my happiness!

kama kweli unataka kuiona four season safari lodge, jiandae!

kwa mtz, room ni tshs kama 150k hivi per night, ila kama ni trip tu ya kawaida, haina cost kubwa (bila kulala hiyo!)

btw.. umesema hutaki kwenda na mimi eenh? why?!! teh!
 
Mwanajeshi wa sirikali sio wa kwako bwana, weeh vipi?

Yaani unipeleke kulala vichochoroni? Mie nataka kulala singita sasakwa lodge, iko grumeti bwana, eboo! Kihoteli cha laki unusu kina hata maji ya kuoga?

Ofcoz staki kwenda na wewe usije ukaniangusha majaribuni. Kuna tour guides kule, wewe kata tikiti to mwanza, lipia kikunguru from mwanza to pori na lipia reservations za hoteli na meals, wala sio hela nyingi. Niwache niende alone, weeh baki jeiefu uandike mistari

what? no way!!

payments nifanye mimi halafu upelekwe na wale mbwa mwitu!! NO WAY!

i know those guys a lot! they dont waste time!

by the way... usiogope bana! siku moja sio mbaya!!

halafu sio mbali.. tunaingia kwa helikopter ya jeshi, then tunarudi kwa VX maalum!!

unaogopa nini mtoto mzuri jamani!
 
Acha uchokozi! Ukidundwa usiniite!
Afu ulisema utanipeleka serengeti nikale maisha? Nataka niende wakati wa the great migration na staki kwenda na wewe.

Na sasa ndio wakati hasa wa great migration!
 
haaaaaaa haaaaaa haaaaa uwiiiiiiiiiiiiii haha haaa
mmmmh
Mtaje, tafadhali mtaje tu.
 
Basi Arushaone atanipeleka. Siku moja ya nini? Mtu mwenyewe hata kutongoza nusu ya paw huwezi! Hebu nipishe mie, utajaniacha salender bridge ukipaa kwenda tegeta mabwepande. Lipa tikiti hizo, kule hakuna stipend.
what? no way!!

payments nifanye mimi halafu upelekwe na wale mbwa mwitu!! NO WAY!

i know those guys a lot! they dont waste time!

by the way... usiogope bana! siku moja sio mbaya!!

halafu sio mbali.. tunaingia kwa helikopter ya jeshi, then tunarudi kwa VX maalum!!

unaogopa nini mtoto mzuri jamani!

si unaona wewe uko more informed yaani. Basi naomba unipeleke wewe kakangu Arushaone. Tunaweza kukodi ile cruiser yako.
Na sasa ndio wakati hasa wa great migration!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom