Yaliyonikuta na Basi la Kilimanjaro Express

Yaliyonikuta na Basi la Kilimanjaro Express

OK, Kwahiyo maana yake hawakai na gari chakavu, inawezekana wanataka kuingia latest luxury coach kama kampuni bado IPO kwenye ubora wake.
Hizo unazosemea zilikua DJW series na ziliuzwa muda sana, sasa hv anatumia gari zinazotengenezwa Kenya na Master Fabricators ni 2*1 ndio ila huwezi zifananisha na zile alizouza... Zile zilikua nzuri zaidi.
 
kwa nini kampuni za kitanzania zinashindwa kuendelea baada ya kufika kilele cha mafanikio, zinaporomoka. Hadithi ilikuwa kwa Scandinavia, ikaja kwa Dar es Express na sasa Kilimanjaro Bus linaelekea kulekule.


Wengi wao wakipata maingizo hawafikirii kuingiza bus mpya Ili kumantain quality, wajifunze kwa Abood ameingia namba E za kutosha.
 
Muda mwingine wabongo tunapenda sifa sana mbona magari mengine yapo mengi tu gari ulishaliona bovu bado tena unaenda kupanda
 
Ni kweli baadhi ya BM siti zake zibana ila sio zote

Ukitaka kuenjoy panda
Kidia One DWL/DTC
Tahmeed
Marangu Coach
Tilisho Safari
Kilimanjaro DMH/DPT/DHY au namba E
Esther Luxury
Extra Luxury
Dar Express DWU
Ww sasa ndo umemaliza kazi..hizo namba za gari ulizoweka ndo gari pekee kwenye hayo makampuni ambazo ni nzuri
 
Back
Top Bottom