Sahau ya zaman. Tujenge upya. Ka nawe hujawahi iba hata sukari endeleaMwizi wa matairi yule kima
Nje na hapo usije kulaumu mtuDar Arusha panda haya
1. BM coach
2. Abood mpya
3. Marangu coach
4. Extra Luxury coach
5. Tilisho safaris
6. Esther
7. Kidia one
Nje ya hapo usijekulaimu mtu hata ukifika kesho yake
BM kuna sehemu anakwama kwenye kuongeza siti maana hata DTP series ziliongezwa siti nne baadhi ya gariHiyo BM DXN. Kuna moja nilipanda siti zimebanwa kama daladala za kwenda kange kasera. Walisema ni luxury, hata kiyoyozi hakijawashwa tuna kazi ya kujifuta jasho tu. Humo ndani ni biashara zinaendelea kama kariakoo. Hujakaa vizuri kapita wa biskuti, ukigeuka hivi kapita wa korosho, ukinyoosha mguu kaingia wa machungwa ya kuonja na kununua. Vurugu tu, mnaingia hotelini dakika 10 ni pale dereva anapomaliza kula. Uluxury pekee niliouona kwenye BM siku hiyo ni kutokupakiza wale watu wa dawa za promotion na kusimamisha abiria.
Tanga to Arusha kuna kampuni inaitwa Raqeeb. Luxury unalipa 23,000 iwe unashuka Arusha au Moshi. Inasimama kila kituo na kupakia abiria tofauti yake na dalala ni ukubwa wa umbo la gari Ila huduma ni kama daladala tu. Inasimamisha abiria, hakuna ac, movie za mkojani na singeli yani kelele tu. Wanajitahidi makondakta wao kwa kuwa na hekima. Ukitaka luxury hapa Tz wewe safiri na gari yako binafsi tu
Hio toka mwaka jana/juzi wanatumia Kenya na Mash Cool anazo pia1 by 1 by 1 is coming soon
Hiyo BM DXN. Kuna moja nilipanda siti zimebanwa kama daladala za kwenda kange kasera. Walisema ni luxury, hata kiyoyozi hakijawashwa tuna kazi ya kujifuta jasho tu. Humo ndani ni biashara zinaendelea kama kariakoo. Hujakaa vizuri kapita wa biskuti, ukigeuka hivi kapita wa korosho, ukinyoosha mguu kaingia wa machungwa ya kuonja na kununua. Vurugu tu, mnaingia hotelini dakika 10 ni pale dereva anapomaliza kula. Uluxury pekee niliouona kwenye BM siku hiyo ni kutokupakiza wale watu wa dawa za promotion na kusimamisha abiria.
Tanga to Arusha kuna kampuni inaitwa Raqeeb. Luxury unalipa 23,000 iwe unashuka Arusha au Moshi. Inasimama kila kituo na kupakia abiria tofauti yake na dalala ni ukubwa wa umbo la gari Ila huduma ni kama daladala tu. Inasimamisha abiria, hakuna ac, movie za mkojani na singeli yani kelele tu. Wanajitahidi makondakta wao kwa kuwa na hekima. Ukitaka luxury hapa Tz wewe safiri na gari yako binafsi tu
Hiyo BM DXN. Kuna moja nilipanda siti zimebanwa kama daladala za kwenda kange kasera. Walisema ni luxury, hata kiyoyozi hakijawashwa tuna kazi ya kujifuta jasho tu. Humo ndani ni biashara zinaendelea kama kariakoo. Hujakaa vizuri kapita wa biskuti, ukigeuka hivi kapita wa korosho, ukinyoosha mguu kaingia wa machungwa ya kuonja na kununua. Vurugu tu, mnaingia hotelini dakika 10 ni pale dereva anapomaliza kula. Uluxury pekee niliouona kwenye BM siku hiyo ni kutokupakiza wale watu wa dawa za promotion na kusimamisha abiria.
Tanga to Arusha kuna kampuni inaitwa Raqeeb. Luxury unalipa 23,000 iwe unashuka Arusha au Moshi. Inasimama kila kituo na kupakia abiria tofauti yake na dalala ni ukubwa wa umbo la gari Ila huduma ni kama daladala tu. Inasimamisha abiria, hakuna ac, movie za mkojani na singeli yani kelele tu. Wanajitahidi makondakta wao kwa kuwa na hekima. Ukitaka luxury hapa Tz wewe safiri na gari yako binafsi tu
Imeondoka saa ngapi dar
Wezi lazima mteteaneSahau ya zaman. Tujenge upya. Ka nawe hujawahi iba hata sukari endelea
Maana wote tumedondoka dhambini ka hujawahi iba sawaWezi lazima mteteane
Hawa siwaelewi, ni kama wameishiwa magari.Yote kwa yote ,mimi bado kura yangu inaenda kwa Tahmed..gari saafi kabisa