Yaliyonikuta na Basi la Kilimanjaro Express

Yaliyonikuta na Basi la Kilimanjaro Express

Huduma ya mabasi hasa ya kwenda Arusha imekuwa kero sana, siku moja nikiwa natokea Arusha nilipanda bus la Estre na nilipanda kwa Alois, kwanza huwezi amini sikupata siri nikaambiwa mpaka nifike Moshi nilimind sana ila nikasema poa, baadaye tulipofika Korogwe Hotelini, walitangaza kwa wale ambao hawafiki Mbagala wapende gari yao nyingine hoi ilikuwa kero hata hivyo kwakuwa hiyo gari nyingine ni nzuri kuliko hii ya Mbagala nikasema poa tu, kilichotokea wengi tukikosa seti kwenye hiyo gari nyingine, moto niliwasha walisimama wenyewe na gari tuliyopanga awali ikatufuta.

Wabongo ni ubabaishaji ubabaishaji tu.
 
Tanzania hakuna Luxury bus kuna ordinary tu. hata ile kuandika Luxury bus ule ni utapeli.

Wanafanya utapeli na wanaachwa kila siku.
Scandinavia walikua wanajitahidi hawa wengine
wote ni ujanja ujanja tu.
Wanatumia bus za kichina kwanza haziko comfortable ikiwa speed kidogo kama inasukumwa na upepo.

Bus za kichina ni takataka.
Umewahi kupanda Shabiby, Kimbinyiko na Tahmed ya Nairobi?

Hizo ni luxury bus, seat arrangement ni two by one kila seat na TV yake.
 

Attachments

  • Screenshot_2023-02-14-21-57-34-09.png
    Screenshot_2023-02-14-21-57-34-09.png
    179.6 KB · Views: 8
  • Screenshot_2023-02-14-21-56-30-81.png
    Screenshot_2023-02-14-21-56-30-81.png
    199.7 KB · Views: 10
BM nao hivyo hivyo.....Nilipanda Luxury yao, nilitaabika mno. Nilishindwa nyoosha miguu kwani siti zimebanana mno. Bahati mbaya siti ya mbele yangu ilikuwa haiwezi kuwa adjusted hivyo ikawa inanibana kishenzi!
Ukitaka kusafirishwa na BM Coach Kata luxury VIP seat, hutoacha kupanda BM.

Shida VIP seat ziko mbele na ni chache hivyo huwezi kupata same day labda Kwa booking.
 
Back
Top Bottom