black abdu
Senior Member
- Dec 2, 2022
- 157
- 214
- Thread starter
- #61
Kosa moja haliachi mkeSasa na wewe ukalipanda Tena!!!!

Kosa moja haliachi mkeSasa na wewe ukalipanda Tena!!!!

Abood nimepanda last week ni aibu. Niliskia wameleta mapya ila sijayaona, nakutana na vyuma chakavu tu.Pandeni BM au Abood au yale ya mabasi yenye jina la mke wa mtunza kibubu cha taifa
Weeee Abood ni wale wale tuPandeni BM au Abood au yale ya mabasi yenye jina la mke wa mtunza kibubu cha taifa
Try kidia 🤗Nshajizoelea zangu Esther kwenye route ya dar Arusha
😂😂😂 zamani nilikuwa nakuja sana Dar, huyo mzee hata nilikuwaga simjuiKidia ukiwa unaenda Dar kwa nani dada Kibungo
Au yule mzee wako wa Azam tv, burudani kwa wote![]()
BM nao hivyo hivyo.....Nilipanda Luxury yao, nilitaabika mno. Nilishindwa nyoosha miguu kwani siti zimebanana mno. Bahati mbaya siti ya mbele yangu ilikuwa haiwezi kuwa adjusted hivyo ikawa inanibana kishenzi!Pandeni BM au Abood au yale ya mabasi yenye jina la mke wa mtunza kibubu cha taifa
Ni kweli baadhi ya BM siti zake zibana ila sio zoteBM nao hivyo hivyo.....Nilipanda Luxury yao, nilitaabika mno. Nilishindwa nyoosha miguu kwani siti zimebanana mno. Bahati mbaya siti ya mbele yangu ilikuwa haiwezi kuwa adjusted hivyo ikawa inanibana kishenzi!
AloooNi kweli baadhi ya BM siti zake zibana ila sio zote
Ukitaka kuenjoy panda
Kidia One DWL/DTC
Tahmeed
Marangu Coach
Tilisho Safari
Kilimanjaro DMH/DPT/DHY au namba E
Esther Luxury
Extra Luxury
Dar Express DWU
Scandinavia mabasi yake hayakuchoka, kampuni ilikufa kama binti mremboKwa tunaosafiri sana kuelekea mikoa ya Kaskazini tunatambua nafasi na heshima ya kampuni ya mabasi ya Kilimanjaro Express, iliyojiwekea kwa kipindi kirefu. Tuliamini ilichukua nafasi ya Dar Express, ikawa hawana mpinzani.
Ila hivi karibuni imekuwa tofauti, nimesikia mara nyingi watu wakisema hawapandi tena mabasi ya Kilimanjaro, ni kama sikuelewa hadi yaliyonisibu jana.
Safari ilianza saa moja na nusu asubuhi, Arusha. "Disappointment" ya kwanza ni kwenye gari tulilokuta stendi, tofauti na matarajio yangu. Tuliambiwa gari ni "luxury", kwa nauli ya 40,000/-. Lakini kitu pekee cha ki-luxury ndani ya basi hilo kilikuwa ni choo, hakuna zaidi.
"Seat covers" chakavu, zulia la chini lilikiwa na vumbi lilitimka kila watu walipopita.
Gari halikuwa na kiyoyozi, hii sikutegemea kabisa, hasa kuwa nilishaandaa koti la kuvaa nikiwa ndani.
Safari iliendelea lakini gari hakikuwa na mwendo wa kuridhisha, na kufika eneo la Makuyuni, Korogwe, likazima kabisa. Muhudumu wa ndani ya gari akatangaza kuomba radhi na kuwa abiria wasubiri kidogo. Hapo abiria wakawa wakali wakihoji sababu ya kusubiri. Hapo ndipo nikajua wengi hawakuwa wameridhika na hali ya basi lile.
Tukateremka, watu wakajitafutia hifadhi kwenye vivuli vichache na wengine kwenda madukani kujitafutia chochote kitu. Baadae sana dereva akatafuta basi dogo la abiria kutuchukua hadi hitelini kwao Korogwe.... hapo sasa tulikaa kuanzia saa saba na nusu mchana hadi saa mbili na nusu usiku tulipopata nafasi kwenye basi jingine la kampuni hiyo hiyo.
Tarehe 8 Desemba, nilipanda tena basi Lao la mchana kuelekea Arusha. Tulipofika kipande cha kuanzia Same hadi Njia Panda kulikuwa na mvua kubwa. Sikutegemea, ila basi lilikuwa linavuja na nililazimika kusimama hadi Moshi, bikapata nafasi ya kukaa baada ya abiria kadhaa kushuka. Hapo nilitambua pia kuwa kulikuwa na siti zingine kadhaa zimelowa. Hii ni aibu kwa basi la kampuni ya Kilimanjaro.
Hii inanitafakarisha, kwa nini kampuni za kitanzania zinashindwa kuendelea baada ya kufika kilele cha mafanikio, zinaporomoka. Hadithi ilikuwa kwa Scandinavia, ikaja kwa Dar es Express na sasa Kilimanjaro Bus linaelekea kulekule.
Ni kuwa tunalewa mafanikio au tunashindwa kuwa na fikra za mbali zaidi?
Ningependa kujua maoni ya wengine, ila kwa sasa, naona nitasimama kwanza kupanda mabasi ya Kilimanjaro, safari za kubahatisha ni hatari.
Tahmeed ndio basi zuri, siti unajiachia utadhani uko kwako!Ni kweli baadhi ya BM siti zake zibana ila sio zote
Ukitaka kuenjoy panda
Kidia One DWL/DTC
Tahmeed
Marangu Coach
Tilisho Safari
Kilimanjaro DMH/DPT/DHY au namba E
Esther Luxury
Extra Luxury
Dar Express DWU
Bus siku izi zinaondoka saa 11 shekilangoImeondoka saa ngapi dar
Wana EAV series kutoka arusha to dar,,ziko masaaa piaAbood nimepanda last week ni aibu. Niliskia wameleta mapya ila sijayaona, nakutana na vyuma chakavu tu.
Kidia one do disappoint kwa njia ya MwanzaAlooo
We ni unazurura balaa
Marangu mm first day tu nilipata boreko. Nikaconclude ni wabovu siwezi warudia
Kidia one never disappoints


they have their worst buses operating kuleYeah siti chache halafu pana sanaTahmeed ndio basi zuri, siti unajiachia utadhani uko kwako!
Naam naamWana EAV series kutoka arusha to dar,,ziko masaaa pia
Tunaongelea njia ya Kaskazini..Kidia one do disappoint kwa njia ya Mwanzathey have their worst buses operating kule