Hakuna bank wababaishaji kama Stanbic..walitakaga kumfanyia mchezo bi mkubwa kwenye account yake akiwahoji wanajibu dharau alichofanya alirusha makonde kisha akaenda kwa operation manager..mimi ndio nilikua mratibu wa ndundi hizo mbaka walirudisha pesa kwenye account..chezea mwanamke wa kingoni...Bank nyingine kwa UTAPELI NI TWIGA BANCORP
Hakuna bank wababaishaji kama Stanbic..walitakaga kumfanyia mchezo bi mkubwa kwenye account yake akiwahoji wanajibu dharau alichofanya alirusha makonde kisha akaenda kwa operation manager..mimi ndio nilikua mratibu wa ndundi hizo mbaka walirudisha pesa kwenye account..chezea mwanamke wa kingoni...Bank nyingine kwa UTAPELI NI TWIGA BANCORP
Hakuna bank wababaishaji kama Stanbic..walitakaga kumfanyia mchezo bi mkubwa kwenye account yake akiwahoji wanajibu dharau alichofanya alirusha makonde kisha akaenda kwa operation manager..mimi ndio nilikua mratibu wa ndundi hizo mbaka walirudisha pesa kwenye account..chezea mwanamke wa kingoni...Bank nyingine kwa UTAPELI NI TWIGA BANCORP
which is the safest bank in Tz?
Majalala bank safety bnk
Ningekua na kitufe cha like ningekugongea bahat mbaya haka ka sim kangu ka mchina hakana ila pokea like mkuuWw inaonekana ni mfanyakazi wa stanbic unauliza nguo alizovaa mteja ili iweje. Mchezo wenu umeshagundulika kawaambie staff wenzako waache.