Yaliyonikuta leo stanbic bank kariakoo sokoni

Yaliyonikuta leo stanbic bank kariakoo sokoni

Hawa watumishi wa benk waboreshewe maslahi yao waache tamaa,sisi wateja pia tuna shida zetu.

Mtanzania hata aboreshewe maslahi vipi, wizi umekuwa jadi kuanzia juu hadi chini kila mtu ajitafakari
 
Kaka pole ,Wafanyakazi wa bank waliowengi wanafanya kazi ya uaminifu zaidi ya hata wachungaji, kwa mfano kuna bank km Crdb, kweli kuna jamaa waaminifu sana, sijajua hayo mabank mengine, Pesa feki kwa ss zimezagaa sn na cyo kosa la mabank, maana na wao wanazipokea km ulivopokea ww. Na huyo cashier angeipokea na ingekuja kuwa feki kweli angeambia ailipe toka kwenye vyanzo vyake. Nitie wito tu kwa wananchi wote tushirikiane na jeshi letu la polisi kuwabaini wale wote wanaojihusisha na utengenezaji na usambazaji wa noti bandia !
 
...Stanbic is like that, stunning its customers. buyer beware.
 
kwani hawa wafanyakazi wanapoingia ofisin asubuh wanasachiwa, niliwahi kushuhudia wanakua wanachomeka wao pesa feki hasa unapotoa pesa nyingi
 
Kuna tawi moja la CRDB ilikua kila nikienda kutoa viburungutu nakuta 10, 20 au 30 imepungua. Kurudi siwezi na kuanza kuhesabia pale pale a bundle of 6m plus is a waste of time. Halaf very frequently ilikua nakutana na binti wa2 haohao. Ni sehemu ya kupanga foleni sio kwa namba. Vikaanza na kunichekea chekea kiasi kwamba hata wangekua wanatoa kilo nahisi ningechekelea tu! (ila namba ningechukua!)
Siku moja nikamgusia meneja swala hili kama bytheway wakati tunaongea maswala mengine. Akaniambia alishasikia na anashukuru mimi kumwambia tena. 2 weeks later dada mmoja nikamkuta customer care mwingine sijui alienda wapi?
Siitaji branch sababu swala lilishatatuliwa, hivyo ni vyema kuripoti!
 
Huwa tunaamini benki ndo mahali salama sasa cjui tunakimbilia wapi
 
kuna mama alitaka kutapeliwa mil 1 na maTELLER wa crdb k'koo. Walidai hajahesabu vizuri badala ya mil 5 wakasema zipo mil 4. Akawauliza kuna mabunda mangapi? Akajibiwa manne, yule mama alimwomba waende kwa meneja wakacheki kwenye cctv zao maana amempatia mabunda matano, ikabidi kaunta ifungwe kwa muda . Waanze mahesabu, ikagundulika yule teller alipokea mil 5. Yule mama aliwaka sana akiwambia ni wezi..
 
Kuna tawi moja la CRDB ilikua kila nikienda kutoa viburungutu nakuta 10, 20 au 30 imepungua. Kurudi siwezi na kuanza kuhesabia pale pale a bundle of 6m plus is a waste of time. Halaf very frequently ilikua nakutana na binti wa2 haohao. Ni sehemu ya kupanga foleni sio kwa namba. Vikaanza na kunichekea chekea kiasi kwamba hata wangekua wanatoa kilo nahisi ningechekelea tu! (ila namba ningechukua!)
Siku moja nikamgusia meneja swala hili kama bytheway wakati tunaongea maswala mengine. Akaniambia alishasikia na anashukuru mimi kumwambia tena. 2 weeks later dada mmoja nikamkuta customer care mwingine sijui alienda wapi?
Siitaji branch sababu swala lilishatatuliwa, hivyo ni vyema kuripoti!

Ingekuwa vema ukataja branch kwa ajili ya kusaidia wengi
 
Pole sana mkuu. Ndio hivyo hivyo spirit za kifisadi huanza.Kuna complaint nyingi sana fro stanbic client though hatujui kama zote ni za kweli. We still believe in few commited bankers.
 
Tatizo la stanbic bank wanaajiri wafanyakazi wasio na elimu na ujuzi wa kuwahudumia wateja kuanzia meneja wao mpaka ngazi ya chini.Badala ya kuhudumia wateja unakuta mda wote wanaongea na simu sio good news kabisaa.
 
Ww inaonekana ni mfanyakazi wa stanbic unauliza nguo alizovaa mteja ili iweje. Mchezo wenu umeshagundulika kawaambie staff wenzako waache.

Ngoja niwaandalie mtego na wakijichanganya wataumia vibaya sana
 
Mchezo huo upo sana na Bandarini pale long room...kuna siku nilikua nalipia ushuru wa gari jamaa akaniliza 30,000 akasingizia zimepungua wakati pesa nilikuwa nimetoka kuzitoa bank muda huo huo na sijatoa hata sent. Nilikasirika na nilizua timbwili kubwa sana pale...yaani wezi sana bank tellers...kuna haja ya kutoa mimacho uangalie kila anachofanya hasa unapoweka pesa nyingi....


KWENYE RED NAUNGA MKONO HOJA
Big_Apple_Bank_teller.png
 
Sikia kiranga,pesa bandia ni easily identified,huwezi shindwa tambua pesa bandia,hawa stanbic ni wezi,mi wamewahi kuniibia mil 3 ktk akaunt yangu,eti wakidai nilichukua loan,baada ya kuwafuatilia sana na kutishia kuwapeleka mahakamani maana ushahidi ulikuwa wazi,ndo wakanirudishia pesa zangu,tena kwa installment,upo hapo? Stanbic bank ni hatari.Nimeshaihama staki tena.
 
Eh ntatunzia hela kwenye safe nyumbani na kweny M-Pesa,bank wanazidi kuboa,crdb washaniliza hela zangu nilichoka mwenyewe,..
 
Kuna mfanyakazi mwenzangu leo karibu alizwe 1M CRDB ,thanks kwa CCTV cameras ndo zimesaidia otherwise,mambo yangekuwa mambo!!
 
kuna mama alitaka kutapeliwa mil 1 na maTELLER wa crdb k'koo. Walidai hajahesabu vizuri badala ya mil 5 wakasema zipo mil 4. Akawauliza kuna mabunda mangapi? Akajibiwa manne, yule mama alimwomba waende kwa meneja wakacheki kwenye cctv zao maana amempatia mabunda matano, ikabidi kaunta ifungwe kwa muda . Waanze mahesabu, ikagundulika yule teller alipokea mil 5. Yule mama aliwaka sana akiwambia ni wezi..

Hiki ndo kilichomtokea mfanyakazi mwenzangu leo hii benki ya CRDB Tanga
 
ulikuwa umevaa nguo gani?
Unaulizia nguo za nini badala ya kuwafundisha hao tellers wenzako customer care nzuri. Hivi mnajua kuwa sisi wateja ndio tunawawezesha kupata kazi hapo benki.
 
...mkuu walitaka kukuibia,hizo mashine kama za kisasa inategemea unavyoziset,wakati mwingine fedha chafu inareject,so walikutega tu...
 
Asante kwa taarifa wiki ijayo naenda kaufunga akaunti zangu zote tatu zilizoko Stanbic kabla haawajanifanyia kitu mbaya kama huyo mteja mwingine.
 
Back
Top Bottom