Stanbic sio bank yenye international standards kwa customer care hata huduma nyingine. Branch zake karibia zote zinamatatizo. Experience yangu mbaya zaidi ni kutoa huduma kwa upendeleo. Staff anatoka kitengo chake kumchukulia pesa jamaa au mtu wake counter asisimame kwenye que. Picha ya rushwa. Tellers hasa wa branch ya Golden Jubilee majanga. Cku moja mdada wa counter ya mwisho kulia jab iambic boss wa kutia sign form anashughulikia kujaza pesa ATM hivyo atachelewa anipe pesa bila receipt kama nna haraka. Nilikataa. Muda uleule akanipatia pesa na receipt. Sijui alitaka nn? Stanbic management okoeni biashara. Do something!!!