Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,845
- 87,025
Tutumieni Lugha za staha, tuna watu wengi wanatusikilizaLisu kamkimbia JPM ilikuwa wakutane Tinde wasalimiane, Lissu akazuga kwenda kwanmganga wakienyeji alikopitia sijui kaibukia tabora
Tutumieni Lugha za staha, tuna watu wengi wanatusikilizaLisu kamkimbia JPM ilikuwa wakutane Tinde wasalimiane, Lissu akazuga kwenda kwanmganga wakienyeji alikopitia sijui kaibukia tabora
Haki za banaadamu alizo maanisha yeye ni ndoa za jinsia moja (Ushoga).Usilinganishe Ethiopia na Tanzania. Njoo kahama watu wanakula mchele na kusaza ndio ulinganishe na nchi ambayo ina ukame miaka 40.
Haki za binadamiu zipi zinazominywa? Watu wanashinda kwenye vijiwe vya kahawa mpaka saa nne usiku wanajadili siasa.
We unamaanisha takwimu za idadi ya samaki baharini🤣🤣Likija swala la sera Lissu ni mweupe, Magu tu hataki kufanya mdahalo lakini anamtoa Lissu knockout kirahisi sana. Lissu anahemkwa tu hana ajualo zaidi ya hizo sheria zake, kitakwimu ni mweupe tu.
Lisu kamkimbia JPM ilikuwa wakutane Tinde wasalimiane, Lissu akazuga kwenda kwanmganga wakienyeji alikopitia sijui kaibukia tabora
Ana hoja za kutembea na lisasi kiunoniLisu ana hoja gani?
Kila la kheri Raia Mwenye utu na uthubutu TALKwa Mujibu wa ratiba ya kampeni iliyotolewa na Chadema inaonyesha kwamba Mh Tundu Lissu leo atakuwa Tabora
=====
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia
CHADEMA TUNDU LISSU leo Septemba 3, 2020, atazindua kampeni kwa Kanda ya Magharibi, uzinduzi ambao utafanyika katika viwanja vya Chipukizi mkoani Tabora.
Zonal inaguurations. Acha ushambaHivi ni kwanini kila Mkutano wa Lisu mnaita ni ya uzinduzi wa kampeni? Na kule Mbagala Zakhiem mlizindua nini?
CCM hawana hoja ya kuzimwa ..maana hoja zao tayari ni mfu.Nashauri awe anasubiri anakopita CCM baada ya siku 2 Lissu anaenda kuzima hoja
Wewe bado hujakombolewa kifikra Hadi leo? Acha Mbowe fikra zako zitabaki utumwani Hadi kaburini.Masikini wengi wanadhani maisha ni kula tu , kuna haja ya kuwakomboa kifikra
Hivi ni kwanini mgombea wako wa CCM John Magufuli anashindwa kulitamka jina la Tundu Lissu.Lisu kamkimbia JPM ilikuwa wakutane Tinde wasalimiane, Lissu akazuga kwenda kwanmganga wakienyeji alikopitia sijui kaibukia tabora
Asipomtaja mnaumia ehhhhh teh teh teh!Hivi ni kwanini mgombea wako wa CCM John Magufuli anashindwa kulitamka jina la Tundu Lissu.
Ni maagano na mganga wake au ni nini kinamsibu?
ITV siyo ya Chadema, tv inayoonesha kampeni ni tv ya taifa ambayo chadema waliwafukuza mkutanoni.Hivi ITV wanaonesha kampeni za CDM? Napata tabu kuzipata hadi niende YouTube kuangalia vipande.
Uongo sio zonal inauguration wewe acha hizo.Ingekuwa ni Zonal Dar es salaam mngezindua jimbo moja tu mbona ilikuwa majimbo matatu ndani ya mkoa mmoja? uzinduzi ulikuwa mbagala huku kwingine mnatapeli tu kama uzinduzi ni zonal ? Kawe na Segerea DAR ES SALAAM mlienda zindua nini wakati yote majimbo yaliyoko zone moja sawa na mbagala?Zonal inaguurations. Acha ushamba
Kwani Magufuli na CCM yake wanahoja gani zaidi ya madalaja,bwawa la umeme ,na SGR,na kuwatukana WANANCHI kuwa WANYONGE,mpaka Lissu asubili.Nashauri awe anasubiri anakopita CCM baada ya siku 2 Lissu anaenda kuzima hoja
Ratiba ya nec umeiona?Nashauri awe anasubiri anakopita CCM baada ya siku 2 Lissu anaenda kuzima hoja
Kuna kitu 'nahisi' kinamkwama kooni, mbona jina la Tundu Lissu Ni fupi na jepesi tu.Asipomtaja mnaumia ehhhhh teh teh teh! Nyumbu bana!