I see!!.......
Nadhani kuna ulazima wa jukwaa la siasa kuwe na access kama jukwaa la Great thinkers
Hilo likifanyika unadhani wewe Matola utapata access?!
I see!!.......
Nadhani kuna ulazima wa jukwaa la siasa kuwe na access kama jukwaa la Great thinkers
Slaa anasema atanyoka na membe na jk ili wamweleze sababu zilizo mruhusu balozi wa china apande jukwaani na kinana kwenye mkutano wa ccm
Sugu anasema ndugai ni nwehu, kawehuka na madaraka,. Yampasa aende milembe
Sugu anaomba ruhusa kwa wana mbeya kua siku nyingine ndugai akizingue wamruhusu akampe mbili tatu pale kitini, wananchi wanamshanilia na kusema ndiooooooooooooo
Mmekuja kumtetea huyo body guard wa Mbowe? Mbeya hawadanganyiki tena 2015, mbona Chunya Songwe mnaogopa? Mnaijua nguvu ya Mulugo that why?
Hilo shazi ndilo linalowachanganya lumumba project kitu inagonga nakurudi ndani.hiyo ndiyo cdm na hiyo ndiyo mbeya
Mkuu hujui kuna watu wana nafsi mbili? Mchana muumini wa dini fulani usiku mchawi.Haya majitu ya hivi ni ya kuyadharau yashajazwa upepo ubongoni mpaka umeharibika. Bora ufuge mbwa utamfundisha akakuelewa kuliko binadamu ambaye ubongo wake ushaharibiwa.mkuu Chilisosi. naona umempumzisha pacha wako.
....
....Kwa jina la CHADEMA!!!!
...sisiemu toka!! toka!!! toka!!! toka!!! toka!!!!
...Umewafanya vijana kuwa omba omba na taaluma zao kupotea !!! Kila siku wao ni kuomba omba ...kila kukicha wao na Lumumba.....
....toka!! toka !! toka !!!! toka!!!
....hata ukikimbilia kwenye noah ....noah nao watakufukuza!!!!
kwa hiyo leo mzinzi na mvuta bangi jukwaa moja sipati picha matusi yatakayoshuka hapo,
mkuu weka picha hata za mwaka 2010 make leo watu hawajaja kujumuika na wavuta bangi hao.
Enzi hizo Watanzania walikuwa hawaijui vizuri CHADEMA ndio maana walikuwa wakijaa kwenye mikutano.
Lakini kwa sasa, CHADEMA ina hutubia miti tu maana Watanzania hawana muda wa kupoteza kusikiliza walaghai.