KYAMTUNDU
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 1,820
- 294
Mkuu,
Tunajua kuwa watu ni wachache uwanjani na ili kuondoa aibu hiyo umeamua kuleta habari bila picha. Weka picha hata kama haziridhishi na hiyo imekuchanganya mpaka umekosea tarehe.
CHADEMA huu ni mwaka tasa kwenu.
Dr. Slaa anaweza kupata watu wachache ndani ya ukumbi wa CHIMWAGA ila si kokote nje ya ukumbi huo!
Muulize gamba yeyote aliyekuwapo Luanda Nzovwe