Kuna mkutano unaandaliwa na Dr Slaa na wenzie July 22. Mahali patatangazwa wiki hii. Katika mkutano huo wazungumzaji ni mawakili Lissu, Mwabukusi, Madeleka, Nshala n. K pia Waziri Mbarawa amealikwa
Lengo la mkutano ni kujadili mkataba wa DP World
Updates
Tarehe 13/7 kutakuwa na Press Conference Mesuma Hotel Dar es Salaam. Wazungumzaji katika Press Conference ni Dr Slaa, Wakili Peter Madeleka na Wakili Boniface Mwabukusi. PRESS Conference itakuwa saa 5 Asubuhi
Lengo la mkutano ni kujadili mkataba wa DP World
Updates
Tarehe 13/7 kutakuwa na Press Conference Mesuma Hotel Dar es Salaam. Wazungumzaji katika Press Conference ni Dr Slaa, Wakili Peter Madeleka na Wakili Boniface Mwabukusi. PRESS Conference itakuwa saa 5 Asubuhi